Mo xtra kinywaji kipya

Mo xtra kinywaji kipya

mzeemkavu

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2017
Posts
552
Reaction score
474
Nimeingia Dukani kwa mangi kununua mo energy mangi akanipa kinywaji kimeandikwa mo xtra nikamwambie naitaji mo energy .. akaniambia hii ndo Mpya sasa nainanguvu mara mbili kuliko mo energy ya zamani ikabidi nichukuee nimeichiki kwenye instagram kwenye page yao metl_group sijaona tarifaa kuhusu hiki kinywaji nimeingia google napo hakuna tarifaa zake ...
20190512_215412.jpeg
20190512_215355.jpeg
20190512_215340.jpeg
20190512_221448.jpeg
 
Nimeinywa leo sijailewa kabisa am addicted na mo energy
 
Caffeine inayotumika kutengeneza enegry ikiwemo mo energy bei yake imepanda maradufu kwenye soko la dunia ndio maana A-one(melt) wametoa hiyo mo extra kama mbadala wa mo energy sahabu hii ya sasa haina caffeine... Ilikuwa either waendelee kuzalisha mo energy afu zije kuuzwa bei juu(nmesikia ingekuwa zaidi 1000Tshs) au watengeneze hiyo mo extra afu bei elekezi ibaki 500Tshs

Hivo ni suala la muda tu kama bei ya caffeine itabaki kuwa juu kama ilivo sasa basi tutalajie energy drinks zote(power ya sayona, turbo ya afya au afiya, power gold ya sippy, energy ya cocacola na energy ya azam) zinazozalishwa Tz nazo either zipande bei au nao waelekee kwenye mwelekeo wa mo extra ya A-one(melt)

Hao wengine wanaweza wakachukua muda kufuata muelekeo wa A-one sababu wanaweza wakawa bado wanamzigo mkubwa store au bado wana caffeine ya kutosha
 
Nimeingia Dukani kwa mangi kununua mo energy mangi akanipa kinywaji kimeandikwa mo xtra nikamwambie naitaji mo energy .. akaniambia hii ndo Mpya sasa nainanguvu mara mbili kuliko mo energy ya zamani ikabidi nichukuee nimeichiki kwenye instagram kwenye page yao metl_group sijaona tarifaa kuhusu hiki kinywaji nimeingia google napo hakuna tarifaa zake ... View attachment 1095557View attachment 1095559View attachment 1095560View attachment 1095561
Hiyo mo Xtra ulipoitumia uliionaje inakupa nguvu na uchangamfu kuliko mo energy au tupe feelback mkuu
 
Caffeine inayotumika kutengeneza enegry ikiwemo mo energy bei yake imepanda maradufu kwenye soko la dunia ndio maana A-one(melt) wametoa hiyo mo extra kama mbadala wa mo energy sahabu hii ya sasa haina caffeine... Ilikuwa either waendelee kuzalisha mo energy afu zije kuuzwa bei juu(nmesikia ingekuwa zaidi 1000Tshs) au watengeneze hiyo mo extra afu bei elekezi ibaki 500Tshs

Hivo ni suala la muda tu kama bei ya caffeine itabaki kuwa juu kama ilivo sasa basi tutalajie energy drinks zote(power ya sayona, turbo ya afya au afiya, power gold ya sippy, energy ya cocacola na energy ya azam) zinazozalishwa Tz nazo either zipande bei au nao waelekee kwenye mwelekeo wa mo extra ya A-one(melt)

Hao wengine wanaweza wakachukua muda kufuata muelekeo wa A-one sababu wanaweza wakawa bado wanamzigo mkubwa store au bado wana caffeine ya kutosha
Dah aisee kama ni kwelii imepanda haya ni majanga ila bora ipande bei kuliko kukosekana wengine tushazizoea jmn hizi energy ni shida i think iyo xtra sio nzuri kama energy zenyewe
 
Jmn tuwe wa kweli kati ya energy zote zilizopo kwenye soko hata kwetu Tz iwe yminatengenezwa hapa au nje ni ipi iko poa na inakupa nguvu na uchangamfu kama Mo energy ipi nzuri zaidi aisee
 
Dah aisee kama ni kwelii imepanda haya ni majanga ila bora ipande bei kuliko kukosekana wengine tushazizoea jmn hizi energy ni shida i think iyo xtra sio nzuri kama energy zenyewe
Mo wameamua kuachana na mo energy wamekuja na hiyo mo extra ambayo haina caffeine na ndio maana haijapanda bei
 
Hiyo mo Xtra ulipoitumia uliionaje inakupa nguvu na uchangamfu kuliko mo energy au tupe feelback mkuu
Hamna kitu mo xtra haiwezi kuwa mbadala wa mo energy maana katika energy zote bongo mo energy ninamba moja
 
Mo wameamua kuachana na mo energy wamekuja na hiyo mo extra ambayo haina caffeine na ndio maana haijapanda bei
Bora wapandishe bei tu maana wapenzi wa mo energy ni wengi sana hiyo mo xtra ni ya watoto tuu
 
Nawashangaa sana watu wanaopaparikia hizi energy drink...

Without knowing unajitengenezea uteja ambao huwezi kuuacha.
Unakuta umeandika hivi halafu ni kadau ka kahawa na bia.

My friend usituzuge.
 
Mimi energy nilizoeaga kuchanganya na viroba Sasa hivi siwezi kabisa kuinywa huwa naona Kama nakunywa viroba hivi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom