Mo sajili wachezaji hawa kwa Simba SC

Wanao msema vibaya MO ni watu wasio wanamichezo.
MO kachangia kiasi kikubwa sana kwenye sekta ya Michezo hususan Mpira wa miguu.
Ndiye Mwekezaji wa kwanza katika fani ya Soka.

Humu wanao andika ni watu wenye uelewa tofauti.
Gulamali umemsahau?
 
Kama Simba inataka ifanye vizuri na ibebe vikombe vya ndani na nje sajili hawa kama wewe mwanaume tajiri

Wanaoitwa na kucheza timu za Taifa za

Afrika

1,Senegal
2,Ivory Coast
3,Nigeria
4,Cameroon
5,Mali
6,Burkinafaso
7,Angola
8,Ghana
9,Morocco
10,Tunisia
11,Algeria
12,Libya
13,Egypt

America

1,Colombia
2,Ecuador
3,Chile
4,Argentina
5,Brazil
6,Paraguay

Asia

1,South Korea

Usajili tofauti na hapo ,hakuna tofauti ya waliopo na watakao kuja
Hizo zote ni hasira
 
Kama Simba inataka ifanye vizuri na ibebe vikombe vya ndani na nje sajili hawa kama wewe mwanaume tajiri

Wanaoitwa na kucheza timu za Taifa za

Afrika

1,Senegal
2,Ivory Coast
3,Nigeria
4,Cameroon
5,Mali
6,Burkinafaso
7,Angola
8,Ghana
9,Morocco
10,Tunisia
11,Algeria
12,Libya
13,Egypt

America

1,Colombia
2,Ecuador
3,Chile
4,Argentina
5,Brazil
6,Paraguay

Asia

1,South Korea

Usajili tofauti na hapo ,hakuna tofauti ya waliopo na watakao kuja
Kwenye avatar huna tackle pole sana
 
Kama Simba inataka ifanye vizuri na ibebe vikombe vya ndani na nje sajili hawa kama wewe mwanaume tajiri

Wanaoitwa na kucheza timu za Taifa za

Afrika

1,Senegal
2,Ivory Coast
3,Nigeria
4,Cameroon
5,Mali
6,Burkinafaso
7,Angola
8,Ghana
9,Morocco
10,Tunisia
11,Algeria
12,Libya
13,Egypt

America

1,Colombia
2,Ecuador
3,Chile
4,Argentina
5,Brazil
6,Paraguay

Asia

1,South Korea

Usajili tofauti na hapo ,hakuna tofauti ya waliopo na watakao kuja
Hizo hela za usajili na mishahara ya hao wachezaji watazitoa wapi?
 
Na hao watakapofika Tanzania ndio utakuwa mwisho wao kuichezea timu yake ya Taifa. Ili uweze kuchezea timu ya Taifa kwa wachezaji wa nchi hizo ni sharti kutocheza kanda fulani fulani ikiwemo Afrika Mashariki yetu.

Yaliyomkuta Didie Diara ni mfano tosha kwa wachezaji mengine. Morison angeendelea kuchezea ligi la South angelikuwa anaitwa timu ya taifa.
Ukweli mchunguu huu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom