Gulamali umemsahau?Wanao msema vibaya MO ni watu wasio wanamichezo.
MO kachangia kiasi kikubwa sana kwenye sekta ya Michezo hususan Mpira wa miguu.
Ndiye Mwekezaji wa kwanza katika fani ya Soka.
Humu wanao andika ni watu wenye uelewa tofauti.
Gulamali umemsahau?Wanao msema vibaya MO ni watu wasio wanamichezo.
MO kachangia kiasi kikubwa sana kwenye sekta ya Michezo hususan Mpira wa miguu.
Ndiye Mwekezaji wa kwanza katika fani ya Soka.
Humu wanao andika ni watu wenye uelewa tofauti.
Hizo zote ni hasiraKama Simba inataka ifanye vizuri na ibebe vikombe vya ndani na nje sajili hawa kama wewe mwanaume tajiri
Wanaoitwa na kucheza timu za Taifa za
Afrika
1,Senegal
2,Ivory Coast
3,Nigeria
4,Cameroon
5,Mali
6,Burkinafaso
7,Angola
8,Ghana
9,Morocco
10,Tunisia
11,Algeria
12,Libya
13,Egypt
America
1,Colombia
2,Ecuador
3,Chile
4,Argentina
5,Brazil
6,Paraguay
Asia
1,South Korea
Usajili tofauti na hapo ,hakuna tofauti ya waliopo na watakao kuja
Kwenye avatar huna tackle pole sanaKama Simba inataka ifanye vizuri na ibebe vikombe vya ndani na nje sajili hawa kama wewe mwanaume tajiri
Wanaoitwa na kucheza timu za Taifa za
Afrika
1,Senegal
2,Ivory Coast
3,Nigeria
4,Cameroon
5,Mali
6,Burkinafaso
7,Angola
8,Ghana
9,Morocco
10,Tunisia
11,Algeria
12,Libya
13,Egypt
America
1,Colombia
2,Ecuador
3,Chile
4,Argentina
5,Brazil
6,Paraguay
Asia
1,South Korea
Usajili tofauti na hapo ,hakuna tofauti ya waliopo na watakao kuja
TehSasa mbona bize pm yangu
Kilikuta Nini vichaa mkacheza na mwehu,MIONGONI MWA BAHATI MBAYA DUNIANI NI KUISHABIKIA YANGA SABABU NI LAZIMA UWE MWEHU.
Hizo hela za usajili na mishahara ya hao wachezaji watazitoa wapi?Kama Simba inataka ifanye vizuri na ibebe vikombe vya ndani na nje sajili hawa kama wewe mwanaume tajiri
Wanaoitwa na kucheza timu za Taifa za
Afrika
1,Senegal
2,Ivory Coast
3,Nigeria
4,Cameroon
5,Mali
6,Burkinafaso
7,Angola
8,Ghana
9,Morocco
10,Tunisia
11,Algeria
12,Libya
13,Egypt
America
1,Colombia
2,Ecuador
3,Chile
4,Argentina
5,Brazil
6,Paraguay
Asia
1,South Korea
Usajili tofauti na hapo ,hakuna tofauti ya waliopo na watakao kuja
Ukweli mchunguu huu.Na hao watakapofika Tanzania ndio utakuwa mwisho wao kuichezea timu yake ya Taifa. Ili uweze kuchezea timu ya Taifa kwa wachezaji wa nchi hizo ni sharti kutocheza kanda fulani fulani ikiwemo Afrika Mashariki yetu.
Yaliyomkuta Didie Diara ni mfano tosha kwa wachezaji mengine. Morison angeendelea kuchezea ligi la South angelikuwa anaitwa timu ya taifa.