Mm ndugu yangu chini ya 2M sifanyi kazi bora nilale na njaa. #knowyourworth acha kuamka na majibu ya ovyoHata wewe unaonekana UNAMILIKI digree lkn hawa matajiri wanalipa unachozalisha...
Km wao wenyewe na digrii zao wamejirahisisha unataka yeye afanye nin???Bilionea anaelipa watu wenye degree laki 3, upuuzi mtupu!!! To me hes just a fool and a vampire who sucks blood (life)out of ppl
Kuna tatizo la ajira nchini na sio kama hufahamu. Watu wako desperate ila haina maana mtu ajinufaishe yeye tu wakati wengine wanaumia. Viongozi wenu ndo wako na kusema watz maskini na kusapoti ujinga wa wamachinga. Sijui wamachinga wafanye wanavotaka, na raisi wa ruhsa anasimama mbele ya umati anamsifia jpm amewanyanyua wamachinga na miwananchi inashangilia. Ajabu sasa wananchi wanatembea barabarani na kupishana na magari sababu pavement zote zina wwamachinga.Migomo sokoni kila siku sababu wafanyabiashara wanalalamika wao wanalipa vitalu sijui wamachinga anapanga nje ya soko. Ukienda stendi adha tupu wauza vitu wananuka kwapa bidhaa kila sehemu hamna utaratibu toka unashuka basi au boda kuelekea stend ni kelele tu dada/kaka ticket hapa yani adha adha adha. Halafu wewe mwanachi unaongea ujinga huo. Hakuna nchi duniani iloendelea kwa kuweka informal business mbele sijui wamachinga na ujinga mwengine. Wao viongozi mbona hawapandani mabasi au kwenda kariakoo nk. Wanakaa ofisini wanaongeza tu eti jina likiwa langu wamachinga wasinyanyswe wao. Nani kwani. Mungu watu! Hawafi! Linasimama chamalila sijui eti rais hafi alaf huyu ndo RC! Tajiri anaumiza watu ndo kwanza mnamtetea! Ukapata scandal mpaka Indian embassy akaizima fasta nyie mnachekelea tu!Km wao wenyewe na digrii zao wamejirahisisha unataka yeye afanye nin???
Matajiri wenzetu wa west na Kenya sijui, wanajenga uchumi jumuishi na ndo mana kuna maisha mzuri na uchumi mzuri. Hawajigambi na na mambo ya ubilionea wala mavi ya bilionea. Lkn wao wana uchumi mzuri, kwenye job competitiveness hatuwawezi, mshahara wanaka mkubwa kuliko Sisi pamoja na kw na level moja ya elimu. Uchumi jumuishi, sio mmoja anajilimbikia Mimali wengine hohehae alaf tupo watz tunashangalia eti boss mo sijui. Timu onyewe anaitumia kwa maslah yake, yani ukiwa tajiri wtz wanakulamba matako na kuselfika juu na kuandika uzi za kijinga hapaKm wao wenyewe na digrii zao wamejirahisisha unataka yeye afanye nin???
Kuna nchi inayooishinda Tanzania kwa uchumi jumuishi na maisha mazuri afrika?Matajiri wenzetu wa west na Kenya sijui, wanajenga uchumi jumuishi na ndo mana kuna maisha mzuri na uchumi mzuri. Hawajigambi na na mambo ya ubilionea wala mavi ya bilionea. Lkn wao wana uchumi mzuri, kwenye job competitiveness hatuwawezi, mshahara wanaka mkubwa kuliko Sisi pamoja na kw na level moja ya elimu. Uchumi jumuishi, sio mmoja anajilimbikia Mimali wengine hohehae alaf tupo watz tunashangalia eti boss mo sijui. Timu onyewe anaitumia kwa maslah yake, yani ukiwa tajiri wtz wanakulamba matako na kuselfika juu na kuandika uzi za kijinga hapa
Acha Masikhara, Yaani Mo awe tajiri kuliko Bakhresa? Bakhresa hana USD 1B?Ni tajiri lakini hajafikia vigezo vya Forbes, $1b
nyie hata Wahindi koko wa Bidco au Sameer hawamo !Hehehe!! Tuliwaambia uchumi wenu huwa umeshikiliwa na Wahindi na Waarabu wachache, ndio wanamiliki 70% ya uchumi wa nchi huku Watanganyika weusi mkikusanyika Buza na kwingineko....hehehe si umesema povu ruksa.
Ukiangalia list ya top 10 wanaomiliki uchumiwa Tz, hakuna mweusi hata mmoja, alikuwepo Mengi ila sasa ni marehemu. Hivyo ukija kusifia utajiri wa hao wahindi ulijue hilo, najua hapa mtatiririka na zile blah blah zenu ohh hata Mhindi ni Mtanzania.
Hii dhambi ya ubaguzi hapo Kenya itawamaliza nawambiaHaya, tupeni Mwafrika mweusi tajiri Afrika Mashariki.
WAISLAM wengi sana, biashara zetu halal.Wale wanaojigamba kwa ukubwa wa uchumi waje wamwage mapovu yao hapa.
Simba the next level
===
Afrika yajivunia mabilionea 18 utajiri wao wote kwa ujumla ukiwa dola bilioni 74, kulingana orodha mpya iliyotolewa na jarida mambo ya kibiashara na utajiri la Forbes.
Kwa mujibu wa orodho iliyotolewa jana Jumanne, Aliko Dangote wa Nigeria anaendelea kuongoza kwa utajiri kwa mwaka wa 10 mfululizo huku utajiri wake ukiwa dola bilioni 11.6. Hata hivyo, Dangote ni wa 190 katika orodha ya matajiri wa dunia nzima.
Barani Afrika, Dangote alifuatwa na Nassef Sawiris wa Misri utajiri wake ukiwa ni dola bilioni 8.5, Nicky Oppenheimer wa Afrika Kusini akiwa na utajiri wa dola bilioni 8, Johann Rupert wa Afrika Kusini akiwa na dola bilioni 7.2 huku Mike Adenuga wa Nigeria thamani yake ikiwa ni dola bilioni 6.3.
Kwa upande wa Afrika Mashariki, Mtanzania Mohammed Dewji pekee ndiye aliyeingia katika orodha hiyo.
Ingawa idadi ya matajiri hao katika jarida la Forbes iliongezeka kote duniani huku ikiweka rekodi kwa kuongeza watu wapya 493, idadi ya mabilionea wa Afrika ilipungua kidogo ikilinganishwa na mwaka 2020 ilipokuwa 20.
Mabilionea 18 wa Afrika wanatoka mataifa mbalimbali kama vile Afrika Kusini na Misri zikiwa na matajiri watano kila mmoja, Nigeria ikiwa na matajiri watatu, Morocco matajiri wawili, Zimbambwe, Tanzania na Algeria wakiwa na tajiri mmoja kila mmoja.
Orodha kamili ya mabilionea wa Afrika kwa mujibu wa ForbesDangote ameendelea kuwa mtu tajiri zaidi barani Afrika kwa mwaka wa 10 mfululizo
1. Aliko Dangote - Nigeria - ana thamani ya $11.6b
2. Nassef Sawiris - Misri - ana thamani ya $8.5b
3. Nicky Oppenheimer - Afrika Kusini - thamani ya $8b
4. Johann Rupert - Afrika Kusini - ana thamani ya $7.2b
5. Mike Adenuga - Nigeria - ana thamani ya $6.3b
6. Abdulsamad Rabiu - Nigeria - ana thamani ya $ 5.5b
7. Issad Rebrad - Algeria - ana thamani ya $4.8b
8. Naguib Sawiris - Misri - ana thamani ya $3.2b
9. Patrice Motsepe - Afrika Kusini - ana thamani ya $ 3b
10. Koos Bekker - Afrika Kusini - ana thamani ya $2.8b
11. Mohamed Mansour - Misri - $2.5b
12. Aziz Akhannouch - Morocco - $2.0b
13. Mohammed Dewji - Tanzania - $1.6b
14. Youssef Mansour - Misri - $1.5b
15. Othman Benjeloun - Morocco - $1.3b
16. Michiel Le Roux - Afrika Kusini - $1.2b
17. Strive Masiyiwa - Zimbabwe - $1.2b
18. Yaseen Mansour - Misri - $1.1b
CHANZO: BBC SWAHILI
Hivi top 20 richest people wote kutoka kwa Wahindi ambao ni less than 100,000 people in a country of 60 million sio ubaguzi? Wake up.Hii dhambi ya ubaguzi hapo Kenya itawamaliza nawambia
Kheee!!!!? Zipo nyingi ila sina mda wa ukibishana na ujinga. Bora mie ndo nikubali ujinga!Kuna nchi inayooishinda Tanzania kwa uchumi jumuishi na maisha mazuri afrika?
Hehehe!! Tuliwaambia uchumi wenu huwa umeshikiliwa na Wahindi na Waarabu wachache, ndio wanamiliki 70% ya uchumi wa nchi huku Watanganyika weusi mkikusanyika Buza na kwingineko....hehehe si umesema povu ruksa.
Ukiangalia list ya top 10 wanaomiliki uchumi wa Tz, hakuna mweusi hata mmoja, alikuwepo Mengi ila sasa ni marehemu. Hivyo ukija kusifia utajiri wa hao wahindi ulijue hilo, najua hapa mtatiririka na zile blah blah zenu ohh hata Mhindi ni Mtanzania.
Hivi top 20 richest people wote kutoka kwa Wahindi ambao ni less than 100,000 people in a country of 60 million sio ubaguzi? Wake up.
Wewe pia yafaa uamke maana sio billionaire wala millionaire, wala upper middle income earner uko uko tu kama hao wa buzaHivi top 20 richest people wote kutoka kwa Wahindi ambao ni less than 100,000 people in a country of 60 million sio ubaguzi? Wake up.