Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Na hivi anajua kuandika gazzete
😂😂Wahindi huwa wanawajuilia sana waswahili ...na simba huwa wanajionaga na akili sana
Ilikuwa ni swala la umoja kuelekea mechi ya jumamosi lakini alichokifanya ni kuleta taharuki ndani ya Simba.
Naona ni sawa tu kusema ameinunua maana shares zake ni 49%. Maamuzi anayo yeye
Tulia dawa iwaingieAmesema hayo alipoulizwa kuwa ni kitu gani chenye gharama sana amewahi kukinunua, ambapo alijibu kitu kikubwa yeye kuinunua ni Club ya Michezo ya Simba.
Dah imeniuma sana hii kitu, mimi nikajua ni mwekezaji tu kumbe alikuwa mmiliki wa Club! Sasa michango yetu ya kila mwaka tunayotoa inaenda wapi?
Angalia video hapa chini.
Tulia
Ili kuweka msisitizo abadili tu jina hiyo mali yake, aite:-Maoni Yangu: Mkiambiwa hii timu siyo yenu mnakuja juu, haya sasa hamna cha kumfanyia Mo dewji.
simba imekuwa tawi la Bombay fc. nitashabikia waya mkali ya arusha au lipuli.
Kwa maongezi yake hayo Ina maana ni ya uongoAngekuwa kanunua asingekuwa analalamika Kila siku twitter kuwa wanakwamisha mchakato wa mageuzi
Ndiyo muanze kumuuliza Sasa unacheza na kanjibahi niniKama kainunua timu ile michango ya kujenga uwanja tulichanga kwa utaratibu upi?