johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,980
Tweet ya Mo Dewji iliyosema " Watanzania watofautishe maisha halisi na maisha ya mitandaoni" iliuzu mjadala mitandaoni siku ya leo.
Maria Sarungi akamamuuliza...." sakata la kutekwa kwako lilikuwa la mitandaoni au halisi? Tutaelewana tu"
Kisha MO akatubu kwa kusema " samahani dada yangu umenielewa nje ya context yangu. Nawashukuru wote walionitafuta na kunisemea"
Source ayo tv
Maendeleo hayana vyama!
Maria Sarungi akamamuuliza...." sakata la kutekwa kwako lilikuwa la mitandaoni au halisi? Tutaelewana tu"
Kisha MO akatubu kwa kusema " samahani dada yangu umenielewa nje ya context yangu. Nawashukuru wote walionitafuta na kunisemea"
Source ayo tv
Maendeleo hayana vyama!