Mo Dewji amrejesha Simba Barbara Gonzalez kama Mjumbe wa Bodi

Mo Dewji amrejesha Simba Barbara Gonzalez kama Mjumbe wa Bodi

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Rais na Mwekezaji wa Simba SC ametangaza mabadiliko makubwa ya kiuongozi ndani ya klabu hiyo, akibaki na nafasi yake ya Rais lakini akikabidhi Uenyekiti wa Bodi kwa kiongozi mpya kutokana na majukumu yake mengine na kutokuwepo mara kwa mara nchini.
IMG_6095.jpeg

Kupitia taarifa rasmi, amesema ni muhimu Simba ipate mwenyekiti ambaye yupo karibu na shughuli za kila siku za klabu. “Nitaendelea kubaki kama Mwekezaji na Rais wa Simba SC, lakini nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi sasa inakabidhiwa kwa kiongozi mpya,” ameeleza.

Kwa mamlaka aliyopewa chini ya Katiba na Kanuni za Kampuni (MEMARTS) ya Simba Sports Club Company Limited, Ibara ya 41, amemteua Crescentius Magori kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC.
IMG_6096.jpeg

Aidha, ametangaza wajumbe wapya wa Bodi upande wa Mwekezaji ambao ni, Barbara Gonzalez aliyewahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji (CEO) wa Simba mwaka 2020, na kuwa kama CEO wa kwanza mwanamke katika historia ya klabu hiyo

Safu ya Wajumbe wa Bodi ni:
• Barbara Gonzalez
• Hussein Kitta
• Azim Dewji
• Rashid Shangazi
• Swedi Mkwabi
• Zuly Chandoo
• George Ruhango


IMG_6092.jpeg
 
Rais na Mwekezaji wa Simba SC ametangaza mabadiliko makubwa ya kiuongozi ndani ya klabu hiyo, akibaki na nafasi yake ya Rais lakini akikabidhi Uenyekiti wa Bodi kwa kiongozi mpya kutokana na majukumu yake mengine na kutokuwepo mara kwa mara nchini.

Kupitia taarifa rasmi, amesema ni muhimu Simba ipate mwenyekiti ambaye yupo karibu na shughuli za kila siku za klabu. “Nitaendelea kubaki kama Mwekezaji na Rais wa Simba SC, lakini nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi sasa inakabidhiwa kwa kiongozi mpya,” ameeleza.

Kwa mamlaka aliyopewa chini ya Katiba na Kanuni za Kampuni (MEMARTS) ya Simba Sports Club Company Limited, Ibara ya 41, amemteua Crescentius Magori kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC.

Aidha, ametangaza pia wajumbe wapya wa Bodi upande wa Mwekezaji ambao ni:
• Barbara Gonzalez
• Hussein Kitta
• Azim Dewji
• Rashid Shangazi
• Swedi Mkwabi
• Zuly Chandoo
• George Ruhango


View attachment 3465001
Katiba inasemaje ama ndiyo iko kwenye wakati wa mpito endelevu usio na kikomo
 
Rais na Mwekezaji wa Simba SC ametangaza mabadiliko makubwa ya kiuongozi ndani ya klabu hiyo, akibaki na nafasi yake ya Rais lakini akikabidhi Uenyekiti wa Bodi kwa kiongozi mpya kutokana na majukumu yake mengine na kutokuwepo mara kwa mara nchini.

Kupitia taarifa rasmi, amesema ni muhimu Simba ipate mwenyekiti ambaye yupo karibu na shughuli za kila siku za klabu. “Nitaendelea kubaki kama Mwekezaji na Rais wa Simba SC, lakini nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi sasa inakabidhiwa kwa kiongozi mpya,” ameeleza.

Kwa mamlaka aliyopewa chini ya Katiba na Kanuni za Kampuni (MEMARTS) ya Simba Sports Club Company Limited, Ibara ya 41, amemteua Crescentius Magori kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC.

Aidha, ametangaza pia wajumbe wapya wa Bodi upande wa Mwekezaji ambao ni:
• Barbara Gonzalez
• Hussein Kitta
• Azim Dewji
• Rashid Shangazi
• Swedi Mkwabi
• Zuly Chandoo
• George Ruhango


View attachment 3465001
MoDewji ana udini sana huyo mpumbavu angalia orodha hio
 
Rais na Mwekezaji wa Simba SC ametangaza mabadiliko makubwa ya kiuongozi ndani ya klabu hiyo, akibaki na nafasi yake ya Rais lakini akikabidhi Uenyekiti wa Bodi kwa kiongozi mpya kutokana na majukumu yake mengine na kutokuwepo mara kwa mara nchini.

Kupitia taarifa rasmi, amesema ni muhimu Simba ipate mwenyekiti ambaye yupo karibu na shughuli za kila siku za klabu. “Nitaendelea kubaki kama Mwekezaji na Rais wa Simba SC, lakini nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi sasa inakabidhiwa kwa kiongozi mpya,” ameeleza.

Kwa mamlaka aliyopewa chini ya Katiba na Kanuni za Kampuni (MEMARTS) ya Simba Sports Club Company Limited, Ibara ya 41, amemteua Crescentius Magori kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC.

Aidha, ametangaza pia wajumbe wapya wa Bodi upande wa Mwekezaji ambao ni:
• Barbara Gonzalez
• Hussein Kitta
• Azim Dewji
• Rashid Shangazi
• Swedi Mkwabi
• Zuly Chandoo
• George Ruhango


View attachment 3465001
Kalpana Scars Kipenzi Changu Kiweriweri Tsh Tui
 
Back
Top Bottom