wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
Imekuwa ni muda sasa hazungumzii kabisa habari za Simba.
Yupo amebanwa na majukumu yake ya uwekezaji wenye tija zaidi?
Kutulia kwake kimya kama vile hana timu aliyowekeza inaleta mashaka.
Tafadhari ndugu muwezaji mwenza usiiache timu. Hawa uto wanajidai sana.
Sisi mashabiki tunaelewa umuhimu wako ktk timu, achana na hawa mashabiki njaa.
Rudi baba, sisi kukaa miaka bila ubingwa tutaisha kwa visukari, kisununu, harara, moyo, figo.
Urudi afya zirejee maana sasa zimedhoofu.
Yupo amebanwa na majukumu yake ya uwekezaji wenye tija zaidi?
Kutulia kwake kimya kama vile hana timu aliyowekeza inaleta mashaka.
Tafadhari ndugu muwezaji mwenza usiiache timu. Hawa uto wanajidai sana.
Sisi mashabiki tunaelewa umuhimu wako ktk timu, achana na hawa mashabiki njaa.
Rudi baba, sisi kukaa miaka bila ubingwa tutaisha kwa visukari, kisununu, harara, moyo, figo.
Urudi afya zirejee maana sasa zimedhoofu.