daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 2,536
- 2,247
Abramovich umemsikia lini?Imekuwa ni muda sasa hazungumzii kabisa habari za Simba.
Yupo amebanwa na majukumu yake ya uwekezaji wenye tija zaidi?
Kutulia kwake kimya kama vile hana timu aliyowekeza inaleta mashaka.
Tafadhari ndugu muwezaji mwenza usiiache timu. Hawa uto wanajidai sana.
Sisi mashabiki tunaelewa umuhimu wako ktk timu, achana na hawa mashabiki njaa.
Rudi baba, sisi kukaa miaka bila ubingwa tutaisha kwa visukari, kisununu, harara, moyo, figo.
Urudi afya zirejee maana sasa zimedhoofu.
GSM
Grazer
Yule jamaa Liverpool
Umewasikia lini
Hao ni wawekezaji siyo viongozi wa timu