Katika hali inayoonekana kuwa na taharuki ni Rais, kutopandisha mishahara kwa watumishi wa umma, imesababisha wafanyakazi kutoelewa ni nani anastahili kupata cheo kipya, ili aweze kujikwamua na hali ngumu ya kimaisha.
Kunahitaji elimu ya kutosha, kinachoonekana watu hawaelewi ni muda gani mfanyakazi anastahili kupanda cheo, hii inatokana na watumishi wengi kukaa kwenye cheo kimoja kwa muda mrefu.
Kuna wafanyakazi wengine Wanasema kupanda cheo ni bahati tu ya na ndiyo maana utakuta mfanyakazi amefanya kazi kwa miaka Sita( 6) lakini ana mshahara Sawa na mfanyakazi aliyeanza kazi hivi karibuni.
2 Kutokana na changamoto hizi na nyingine nyingi Kuna haja ya Waziri katika ofisi ya Rais menejiment wa utumishi wa umma kutoa maagizo, au amri kwa maafisa utumishi kupita katika kila taasisi za umma kuwaelimisha ili kupunguza taharuki iliyopo.
Kunahitaji elimu ya kutosha, kinachoonekana watu hawaelewi ni muda gani mfanyakazi anastahili kupanda cheo, hii inatokana na watumishi wengi kukaa kwenye cheo kimoja kwa muda mrefu.
Kuna wafanyakazi wengine Wanasema kupanda cheo ni bahati tu ya na ndiyo maana utakuta mfanyakazi amefanya kazi kwa miaka Sita( 6) lakini ana mshahara Sawa na mfanyakazi aliyeanza kazi hivi karibuni.
2 Kutokana na changamoto hizi na nyingine nyingi Kuna haja ya Waziri katika ofisi ya Rais menejiment wa utumishi wa umma kutoa maagizo, au amri kwa maafisa utumishi kupita katika kila taasisi za umma kuwaelimisha ili kupunguza taharuki iliyopo.