Bubu ataka kusema,
Wewe siyo msemaji wa 'Watanzania wengi' hizo zako ni hisia tu na ambazo hazijengi hoja ya nguvu katika majadliano. Ukweli unabaki kuwa JK amefanya kazi yake vizuri na anastahili pongezi kwa hilo. Tatizo ambalo amelitatua ni tatizo la nchi na wala siyo tatizo lake binafsi. Huenda wale ambao haitakii mema nchi yetu walitaka kuona kuwa suala EPA haliishi na liendelee kuwa ni ajenda kila kukicha, tutafika kweli? JK is smart and Intelligent!
ni vema tukampongeza mh kikwete kwa jinsi ambavyo amelishughulikia suala la epa. Vyovyote iwavyo, ameonesha ni kiongozi imara na makini katika kutatua issues. Kula tano mr president.
imf chief backs kikwete on epa
correspondent in washington
daily news; sunday,august 31, 2008 @18:01
the international monetary fund (imf) has supported the government for measures taken in dealing with over 133bn/- embezzlement of bank of tanzania (bot) external payment account (epa). The imf managing director, mr dominique strauss-khan, lauded the government in dealing with the epa scam during talks with president jakaya kikwete at the omni shoreham hotel here over the weekend.
The scandal involved fraudulent payment of about 133bn/- made by bot to 22 firms in the 2005/06 financial year, involving the repayment of the countrys external debt. The scam claimed the then governor of bot, dr daudi ballali, who died in the us a few months later, as its first casualty. Dr ballali was fired by president kikwete in january, this year, after he was implicated in investigative reports carried out by the controller and auditor general (cag) and an international accounting and audit firm, ernest & young.
Mr strauss-khan said his organization had confidence in president kikwetes leadership and expected that all pending issues in the epa saga would be effectively concluded. President kikwete met the imf managing director on his last day of three day state visit to the united states at the invitation of president george w. Bush. President kikwete briefed the imf chief details of the epa scam and measures taken by the government, including recovery of some funds.
were greatly satisfied and congratulating you for the way you handled the issue. this thing can happen anywhere in the world. What is important is the way it is being handled. And you have handled it very well, with competence and professionalism of the highest order, mr strauss-kahn noted. The imf managing director said most countries had faced similar problems, but none managed to recover such huge sums of money.
the epa case is now closed in as far as imf is concerned, stressed the imf managing director. He promised to assist tanzania in putting in place water-tight systems to avoid such incidents in future. President kikwete promised the imf chief that he would not be ready to see such a thing (epa scam) happening again in tanzania. President kikwete also said that the task now was to rebuild the image of tanzanias central bank, saying such institutions were sensitive and of crucial importance to the country.
The imf praises came a week after president kikwete explained in detail in parliament how the government handled the epa scam. The president told the legislators on august 21 that owners of firms involved in the scandal had their passports seized and property confiscated. He said suspects in the epa account embezzlement scandal who fail to return the looted funds by october 31 this year, will face criminal prosecution.
The president, however, did not specify whether or not the government has offered some form of amnesty deal for those epa scandal suspects who do return the looted funds. President kikwete declared that the government will take custody of the recovered epa funds and use them to finance an expanded fertilizer subsidy programme for the agricultural sector. He said part of the recovered epa monies will furthermore be channelled towards re-capitalizing the state-owned tanzania investment bank (tib), to start offering loans to farmers
Kwangu mimi pesa sio jambo la msingi sana, kwani hizo zinatafutwa tu na Tanzania ilivyotajiri tunazo, na kwa kweli kama Mungu angetufunulia kujua ni mabilioni mangapi yameibiwa TZ tungusema na kuthibitisha kuwa EPA ni cha mtoto. Jambo la msingi ambalo watanzania wengi walilitegemea ni hatua za kisheria. Kikwete kushindwa kuwapeleka wezi wa EPA mahakamani kama ambavyo wezi wa kuku wanavyopelekwa ni kielelezo tosha kuwa jamabo la EPA limemshinda. Kwa kweli mimi bado sijaona kama amefanya kitu mpaka sheria ichukue mkondo wake. Wapelekwe mahakamani hata kama hakuna hata shs 1 iliyorudishwa ili liwe fundisho kwa wengine. Kama hawa watarudisha kisha kusamehewa je wakitokea wengine wa namna hiyo itakuwaje? Bwana Pundamilia kuwa mzalendo halisi na uache ushabiki tu.
Historia itakuja kutuhukumu.
mzee makamba karibu jf
ni vema tukampongeza mh kikwete kwa jinsi ambavyo amelishughulikia suala la epa. Vyovyote iwavyo, ameonesha ni kiongozi imara na makini katika kutatua issues. Kula tano mr president.
imf chief backs kikwete on epa
correspondent in washington
daily news; sunday,august 31, 2008 @18:01
the international monetary fund (imf) has supported the government for measures taken in dealing with over 133bn/- embezzlement of bank of tanzania (bot) external payment account (epa). The imf managing director, mr dominique strauss-khan, lauded the government in dealing with the epa scam during talks with president jakaya kikwete at the omni shoreham hotel here over the weekend.
The scandal involved fraudulent payment of about 133bn/- made by bot to 22 firms in the 2005/06 financial year, involving the repayment of the countrys external debt. The scam claimed the then governor of bot, dr daudi ballali, who died in the us a few months later, as its first casualty. Dr ballali was fired by president kikwete in january, this year, after he was implicated in investigative reports carried out by the controller and auditor general (cag) and an international accounting and audit firm, ernest & young.
Mr strauss-khan said his organization had confidence in president kikwetes leadership and expected that all pending issues in the epa saga would be effectively concluded. President kikwete met the imf managing director on his last day of three day state visit to the united states at the invitation of president george w. Bush. President kikwete briefed the imf chief details of the epa scam and measures taken by the government, including recovery of some funds.
were greatly satisfied and congratulating you for the way you handled the issue. this thing can happen anywhere in the world. What is important is the way it is being handled. And you have handled it very well, with competence and professionalism of the highest order, mr strauss-kahn noted. The imf managing director said most countries had faced similar problems, but none managed to recover such huge sums of money.
the epa case is now closed in as far as imf is concerned, stressed the imf managing director. He promised to assist tanzania in putting in place water-tight systems to avoid such incidents in future. President kikwete promised the imf chief that he would not be ready to see such a thing (epa scam) happening again in tanzania. President kikwete also said that the task now was to rebuild the image of tanzanias central bank, saying such institutions were sensitive and of crucial importance to the country.
The imf praises came a week after president kikwete explained in detail in parliament how the government handled the epa scam. The president told the legislators on august 21 that owners of firms involved in the scandal had their passports seized and property confiscated. He said suspects in the epa account embezzlement scandal who fail to return the looted funds by october 31 this year, will face criminal prosecution.
The president, however, did not specify whether or not the government has offered some form of amnesty deal for those epa scandal suspects who do return the looted funds. President kikwete declared that the government will take custody of the recovered epa funds and use them to finance an expanded fertilizer subsidy programme for the agricultural sector. He said part of the recovered epa monies will furthermore be channelled towards re-capitalizing the state-owned tanzania investment bank (tib), to start offering loans to farmers
Vilevile ni wazi kuwa hatuwezi kusomewa ripoti nzima ya akina Mwanyika kwani huenda kuna mapendekezo mengine kwa sababu maalum hayawezi kutolewa kwenye public kwani yanaweza kuathiri mwenendo mzima wa kukamilisha yale yanayotarijiwa.
Alichosema kuwa amewapa hadi Novemba 1, kuwa wawe wamerudisha hizo fedha na hayo yamo katika ushauri aliopewa katika report ya wasaidizi wake yaani ya akina Mwanyika. Kama ambavyo nimeeleza hapo awali kuwa si kila kitu kilichomo ndani ya ile report aliyokabidhiwa Mh. Rais ni kwa ajili ya matumizi ya Public. .
You need to go and see optician.
Hapo ndipo mashabiki wa JK mnaponiachaga hoi kwa kudhania JK ana uwezo na akili ya ziada sema hajaamua tu!!!!!!!! Historia inatuambia huyu jamaa hajawahi kuaccomplish chochote iwe kwenye uwaziri au huo urahisi.
Pia ukumbuke IMF hao hao pamoja na WB walikuwa ni one of the main forces katika kuiingiza IPTL in the making in Tanzania. Je IPTL imetufikisha wapi??????
Your guy is a failure period.
Acha uzushi, hiyo report umeiona wapi?..naomba uthibitishe kuwa unayo ongea una-data zake na si porojo tu za uzushi.
Kwa hiyo wewe umem-see optician ndio maana unaona?
PUNDAMILIAO7
Ukiona umesifiwa na IMF pia ukakaribishwa IKULU YA BUSH (White house) jua nchi imeshauzwa yote.
Pundamilia nakushauri ujiunge na wana-CCM wanaompongeza kwa hotuba yake nzuri na maisha bora kwa kila MTZ wakati majumbani mwao hata kibaba cha unga hawana. Nenda kaandamane ndugu yangu, matokeo hatuhitaji kuambiwa na wewe wakati na sie tunamacho yetu
unampongeza kwa lipi? kwa hili hapa chini?Ukiona umesifiwa na IMF pia ukakaribishwa IKULU YA BUSH (White house) jua nchi imeshauzwa yote.
Hiyo ni dhana kwani haina hata chembe moja ya ukweli juu ya hili tunaloliongelea, nithibitishie kwa kunipa ushahidi kuwa hilo unalodhania ni kweli.
Pundamilia nakushauri ujiunge na wana-CCM wanaompongeza kwa hotuba yake nzuri na maisha bora kwa kila MTZ wakati majumbani mwao hata kibaba cha unga hawana
Mimi si mwana-CCM wala CHADEMA. Inapofikia issue ya kitaifa sitaona aibu kutimiza wajibu kuitetea nchi yangu. Ikibidi kumpongeza Rais nitafanya hivyo kwa kujali utaifa wangu.
Issue hapa ni jinsi alivyoweza kuhandle issue ya EPA na siyo IPTL, sorry!!!
Mimi si mwana-CCM wala CHADEMA. Inapofikia issue ya kitaifa sitaona aibu kutimiza wajibu kuitetea nchi yangu. Ikibidi kumpongeza Rais nitafanya hivyo kwa kujali utaifa wangu.