mnyika


akili yako haina ushirikiano ndo mana huwezi kuuona mchango wa mnyika na hauto kuja kuuona bila akili yako kukua na kuw apevu sie ambao tunajua kwa nini anaomba miongozo ndio tunao fahamu tena hata hivo naona bado miongozo haitoshi coz ccm wanavunja sana sheria za bunge, na ukiona m2 anaomba miongozo ujue anafuatilia sana mada zinazo ongelewa hapo bungen ndo mana anayaona hta hayo makosa anayo yaombea muongozo ,mbona lukuvi humuongelei wakati nae ni bingwa wa miongozo bungen?
 
Hata kwa kazi ya kuwanyima magamba usingizi kwangu mimi inatosha kumfagilia Mnyika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…