Charge sheet:Kuna masuala ya ajabu sana huwa yanachanganya sana. Maana mwanasiasa ambaye ni katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani kulalama huku akiwa hana hoja zenye mashiko ni kukosa busara.
Mnyika analalama kuwa Charge sheet ambayo ameshitakiwa nayo Mbowe haijataja figure kamili ya pesa ambazo Mbowe alizifadhili ili ugaidi kufanyika. Hivyo rais amfutie mashitak. Je, hoja kama kama hii ina mashiko? Huku ni kukuosa uelewa wa mambo.
Kutotaja kiasi cha pesa hakuondoi kosa la mshitakiwa kama Charge sheet inaeleza kwa ufahasa kifungu kilichovunjwa. Labda kama kungekuwa na mkankanyiko juu ya kosa husika na kiasi gani cha pesa kilichotumika.
My take: Viongozi wa Chadema wamekosa busara, hivyo wasilete papara kushughulikia masuala ya kisheria.
Mh? Kwa hiyo kama offence ni stealing alafu bei ya kilichoibiwa haipo kuna shida?Charge sheet:
Name of accused: X Y
Age: 34 years
Tribe/Nationality: Z/W
Religion: B
Address: F Village, H District, I Region
Offence, Section and Law: Stealing contrary to section 265 of the Penal Code.
Particulars of Offence: X Y, on or about July 10, 1982, at about 5:00 pm at Mkwajuni, within the township, district of H and region of I, stole a bicycle at Sh12,500, the property of R T.
Sgd
Public Prosecutor
Date 4.7.82.
Kiongozi, tuelimishane. Kwa upande mwingine, ukisema umeibiwa pesa na aliyeiba ni x na kiasi ulichoibiwa hukutaja na tuseme x akasema hajaiba na akadai kama ameiba ni kiasi gani (ambacho wewe hukutaja), hapo ushahidi wako utasimamaje)? Ref Kitabu 'A Magistrates's Manual' by B.D Chipeta (TMP Book Department, Tabora, Tanzania) ukurasa wa 9 na 10. Anaongelea correct na defective charge sheets.Mh? Kwa hiyo kama offence ni stealing alafu bei ya kilichoibiwa haipo kuna shida?
Maswala ya undani wa mashtaka hutolewa wakati wa usikilizaji(hearing) hapo ushahidi pamoja na maelezo na mashahidi huletwa,then zamu ya utetezi itakuja huo ndio muda mwafaka wa wao kujibu na kujitetea. kwa hiyo hoja ya mnyika ni premature.Idugunde
Ficha kidogo ujinga wako kama hujui uliza
Tunahtaji solid evidence ,amefadhiri shingapi zilienda kwanan nani alipokea alilipwa
Mnatuboa sana
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
subilini cross examinationMaswala ya undani wa mashtaka hutolewa wakati wa usikilizaji(hearing) hapo ushahidi pamoja na maelezo na mashahidi huletwa,then zamu ya utetezi itakuja huo ndio muda mwafaka wa wao kujibu na kujitetea. kwa hiyo hoja ya mnyika ni premature.
CCM hakuna wasomi. Umefurahi?Hivi ndani ya CCM, ni nani unaweza kumtaja ni msomi katika tafsiri ya mtu msomi? Au usomi kwako ni kile kikaratasi ambacho watu wengine wanapata hata kwa kukariri.
Nafikiri hoja ya msingi ni kama kutotaja kiasi alichofadhili Mbowe ni sababu ya kumfanya kutokuwa na hatia.Kiongozi, tuelimishane. Kwa upande mwingine, ukisema umeibiwa pesa na aliyeiba ni x na kiasi ulichoibiwa hukutaja na tuseme x akasema hajaiba na akadai kama ameiba ni kiasi gani (ambacho wewe hukutaja), hapo ushahidi wako utasimamaje)? Ref Kitabu 'A Magistrates's Manual' by B.D Chipeta (TMP Book Department, Tabora, Tanzania) ukurasa wa 9 na 10. Anaongelea correct na defective charge sheets.
Shetani hana rafiki , Nape alikuwa Katibu Mwenezi wa ccm , lakini alimanusura auawe , sasa wewe masikini kapuku mtozeni endelea kushangilia uonevuKuna masuala ya ajabu sana huwa yanachanganya sana. Maana mwanasiasa ambaye ni katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani kulalama huku akiwa hana hoja zenye mashiko ni kukosa busara.
Mnyika analalama kuwa Charge sheet ambayo ameshitakiwa nayo Mbowe haijataja figure kamili ya pesa ambazo Mbowe alizifadhili ili ugaidi kufanyika. Hivyo rais amfutie mashitak. Je, hoja kama kama hii ina mashiko? Huku ni kukuosa uelewa wa mambo.
Kutotaja kiasi cha pesa hakuondoi kosa la mshitakiwa kama Charge sheet inaeleza kwa ufahasa kifungu kilichovunjwa. Labda kama kungekuwa na mkankanyiko juu ya kosa husika na kiasi gani cha pesa kilichotumika.
My take: Viongozi wa Chadema wamekosa busara, hivyo wasilete papara kushughulikia masuala ya kisheria.
Dada acha hasira, jikite kwenye ukweli. Najua hapo Desderia hotel mna hasira kali baada ya mwamba kudakwa.Shetani hana rafiki , Nape alikuwa Katibu Mwenezi wa ccm , lakini alimanusura auawe , sasa wewe masikini kapuku mtozeni endelea kushangilia uonevu
Nimekuonya kwa huruma tu , kama Kinana na Makamba walitukanwa na Magufuli , wewe mnyonge unajiamini nini ?Dada acha hasira, jikite kwenye ukweli. Najua hapo Desderia hotel mna hasira kali baada ya mwamba kudakwa.
KIMYA KIMYA VILEKesi imeshafika hearinga? Maelezo ya awali yamesomwa?