Mnyika uko wapi?

Mnyika uko wapi?

Moja kati ya waliokuwa waongeaji wakubwa wa chadema ni john mnyika....ila siku za hivi karibuni amekuwa kimya sana tena tangu kuteuliwa na EL kugombea nafasi ya urais kupitia chama hicho....hata kwenye mikutano ya chama hicho tunamuona sio yule aliyekuwa akiwa na fujo hasa pale linapotamkwa neno PIPOZZZZZ ..BAVICHA mtueleze huyu ni kiongozi wetu tunahitaji kujua au ndo kapigwa benchi...

Naye amepumzika, atawakuta wakombozi wa kweli mbele ya safari.

Hii nchi ina bahati mbaya sana yakuwa na viongozi "MOTO WA MABUA"

Hii ni kafara iliyoko pale MAGOGONI.
 
Moja kati ya waliokuwa waongeaji wakubwa wa chadema ni john mnyika....ila siku za hivi karibuni amekuwa kimya sana tena tangu kuteuliwa na EL kugombea nafasi ya urais kupitia chama hicho....hata kwenye mikutano ya chama hicho tunamuona sio yule aliyekuwa akiwa na fujo hasa pale linapotamkwa neno PIPOZZZZZ ..BAVICHA mtueleze huyu ni kiongozi wetu tunahitaji kujua au ndo kapigwa benchi...

mnyika mwaka wake,tunataka zile nyaraka alizokuwa amezishika 2010 ubungo zikionyesha ufisadi wa lowasa lazima atuonyeshe ,asipokuja nazo ajipange kuachia jimbo,

 
Naye amepumzika, atawakuta wakombozi wa kweli mbele ya safari.

Hii nchi ina bahati mbaya sana yakuwa na viongozi "MOTO WA MABUA"

Hii ni kafara iliyoko pale MAGOGONI.

tunamkaanga ubungo na zile nyaraka zake kama anazani tumesaau bado atajutia kuwa na msanii mbowe,

 
Moja kati ya waliokuwa waongeaji wakubwa wa chadema ni john mnyika....ila siku za hivi karibuni amekuwa kimya sana tena tangu kuteuliwa na EL kugombea nafasi ya urais kupitia chama hicho....hata kwenye mikutano ya chama hicho tunamuona sio yule aliyekuwa akiwa na fujo hasa pale linapotamkwa neno PIPOZZZZZ ..BAVICHA mtueleze huyu ni kiongozi wetu tunahitaji kujua au ndo kapigwa benchi...

mnyika atamkumbuka msanii mbowe masilai,
 
mnyika mwaka wake,tunataka zile nyaraka alizokuwa amezishika 2010 ubungo zikionyesha ufisadi wa lowasa lazima atuonyeshe ,asipokuja nazo ajipange kuachia jimbo,


ahahahaaa, amesema walimuibia mjengoni wakati wa bunge la bajeti ila kopi nyingine anazo dk slaa
 
Ataongea nini?

Juu hapo kuna mtu kasema "neno fisadi" atalitumia wapi?
 
Sasa hivi utawasikia tunataka mabadiliko, duh jamaa ni watalaam wa masong,, ile single tena imeoza,,,
" mtanzania atakayempigia kura LOWASSA akapimwe akili" BY MCH MSIGWA..
 
Mnyika jimboni kwake moto unawaka lazima atulie kule akileta mchezo wanamtoa.
 
tunamkaanga ubungo na zile nyaraka zake kama anazani tumesaau bado atajutia kuwa na msanii mbowe,


Bila shaka wewe utakuwa miongoni wa wanaoitwa MALOFA na Mzee Mkapa.Yaani hujui hata Mnyika anagombea jimbo lipi unaleta stori za eti Ubungo mnamsubiri??.Aliyekuloga kuwa Kamanda huyu anagombea hapo nani?? Kazi mnayo Lumumba safari hii,ila endeleeni kumsubiri mumkaange!!!
 
tunamkaanga ubungo na zile nyaraka zake kama anazani tumesaau bado atajutia kuwa na msanii mbowe,


Bila shaka wewe utakuwa miongoni wa wanaoitwa MALOFA na Mzee Mkapa.Yaani hujui hata Mnyika anagombea jimbo lipi unaleta stori za eti Ubungo mnamsubiri??.Aliyekuloga kuwa Kamanda huyu anagombea hapo nani?? Kazi mnayo Lumumba safari hii.Ok,endeleeni kumsubiri mumkaange!!!
 
Moja kati ya waliokuwa waongeaji wakubwa wa chadema ni john mnyika....ila siku za hivi karibuni amekuwa kimya sana tena tangu kuteuliwa na EL kugombea nafasi ya urais kupitia chama hicho....hata kwenye mikutano ya chama hicho tunamuona sio yule aliyekuwa akiwa na fujo hasa pale linapotamkwa neno PIPOZZZZZ ..BAVICHA mtueleze huyu ni kiongozi wetu tunahitaji kujua au ndo kapigwa benchi...

Hawa UKAWA sasaivi mpaka wanaboa sio tu Mnyika ata Lissu na wengine ni kimya tuu mpaka nawaza kura yangu nipigie Maruhani.

Jambo linaloniumiza zaidi ni ccm kufanya kampeni bila mapambano, Ukawa walipaswa ccm ikiwa huku wao wawe kule lakini Ukawa imedorora vibaya sn halafu nashindwa kufahamu hawa Ukawa vikao vimekuwa vingi sana issue hapa ni kuonana na wadau wakubwa wa uchaguzi ambao ni watu wao wanafanya vikao vikao tu saa zote.

Chadema ni wadau wakubwa wa Ukawa na wao ndio wametoa rais kwa Ukawa lakini ndio wamkuwa sloo kupita kiasi.
 
Huwezi kujua alipo kwani chadema haikuhusu we endelea kufwatilia habari za maccm ukawa is non of your business
 
Moja kati ya waliokuwa waongeaji wakubwa wa chadema ni john mnyika....ila siku za hivi karibuni amekuwa kimya sana tena tangu kuteuliwa na EL kugombea nafasi ya urais kupitia chama hicho....hata kwenye mikutano ya chama hicho tunamuona sio yule aliyekuwa akiwa na fujo hasa pale linapotamkwa neno PIPOZZZZZ ..BAVICHA mtueleze huyu ni kiongozi wetu tunahitaji kujua au ndo kapigwa benchi...
mnyika ni chipukizi la slaa hana amani tena hapo. bila shaka muda sio mrefu tutamsikia kaibukia ACT wazalendo. ni suala la muda tu.
 
jimbo limemshinda la ubungo kakimbilia kibamba anawazawo sijui huko nako watamchagua maana kashtuka ubungo wangempiga chini. pole yake lakini ndio siasa ukipewa nafasi kula vizuri na kipofu next time.
 
Back
Top Bottom