Mnyika uko wapi?

Mnyika uko wapi?

Mbona za ccm mnachangia. Jifunzen kujenga hoja taarabu hazisaidii

Siwezi kujenga hoja kwa mtu fukara wa mawazo kama wewe usiye jua kuwa nchii hii inaitaji mabadiliko wewe ni wakutukana na kupiga tuu maana hanma namna nyinge
 
Mnyika alikua anafany siasa ya kweli kutoka Moyoni kumbe boss wake Mbowe hakua serious,anaona aibu kumuita Lowassa Fisadi siku za nyuma
 
Ni ukweli mtupu hata ukimuangalia hana raha , kapoooza kiruuuuuuu !
 
Bila shaka wewe utakuwa miongoni wa wanaoitwa MALOFA na Mzee Mkapa.Yaani hujui hata Mnyika anagombea jimbo lipi unaleta stori za eti Ubungo mnamsubiri??.Aliyekuloga kuwa Kamanda huyu anagombea hapo nani?? Kazi mnayo Lumumba safari hii,ila endeleeni kumsubiri mumkaange!!!

Maccm walishachanganyikiwa zamani, hawaelewi hata wanachoongea
 
Back
Top Bottom