Maramla
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 588
- 648
Moja kati ya waliokuwa waongeaji wakubwa wa chadema ni john mnyika....ila siku za hivi karibuni amekuwa kimya sana tena tangu kuteuliwa na EL kugombea nafasi ya urais kupitia chama hicho....hata kwenye mikutano ya chama hicho tunamuona sio yule aliyekuwa akiwa na fujo hasa pale linapotamkwa neno PIPOZZZZZ ..BAVICHA mtueleze huyu ni kiongozi wetu tunahitaji kujua au ndo kapigwa benchi...