Wahenga walisema kuwa chema cha jiuza na kibaya chajitembeza, John Mnyika kwa kushindanishwa na Mkangala ni kama CCM wameamua kumzawadia Mnyika hilo jimbo la Kibamba maana haiingii akilini ni kwa vipi Mkangala anaweza kushindana na Mbunge maarufu kama Mnyika maana hata Kinana kati ya wizara alizowahi kusema zina waziri mizigo ni pamoja na alikokuwapo Mkangala.
Itabidi makao makoo yahamie Dodoma fasta.Mkuu kwa mkoa wa DSM mwaka huu ccm wanaweza kunawishwa kabisa wasipate hata jimbo