taffu69
JF-Expert Member
- Feb 26, 2007
- 2,094
- 538
Inasemekana kwamba Wangekuwepo wanachuo huenda Mnyika angeshindwa, hivyo Mnyika asijidanganye kwa huo ushindi maana hautoi picha kamili kwa jimbo la ubungo kwani halijashirikisha wapiga kura wote
Watu wa mipasho huwa hawakosi cha kusema na kila mara ukweli kwao ni sumu!!!!