Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,707
- 272,603
sidhani kama ni visima labda visimi.
Matusi hayajawahi kuondoa umasikini wa mtu , tafuta kazi kijana , hizo fanta take away za ccm hazitakusaidia chochote .
sidhani kama ni visima labda visimi.
Matusi hayajawahi kuondoa umasikini wa mtu , tafuta kazi kijana , hizo fanta take away za ccm hazitakusaidia chochote .
Sasa kama ni serikali ndiyo inayopaswa kusifiwa kwakuwa inatekeleza ilani yake iweje tena mnaumlaumu Mnyika kwasababu ya kero ya maji ya Ubungo badala ya kuilaumu serikali?
KILA SIKU NASEMA BAVICHA MNAONGOZWA NA BANGI+GONGO..
huu ujenzi wa barabara ni UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM na ahadi za raisi alizozitoa kipindi cha kampeni.
sasa kwa akili yenu ya bangi na mnavyopenda kijitekenya na kujicheka wenywewe, mnajidanganya ''ETI NI JUHUDI ZA MNYIKA NA MDEE''
Hahahahahaaaaa mimi ndio maana nawadharaaaaaaauuuuuuuuuu.
hivi huyu mnyika ana kipi kitakachosikilizwa na serikali mpaka kitekelezwe??? au msagaji wenu wa kawe anaweza kuishawishi nini serikali ikatekeleza matakwa yake???
acheni upumbavu
mkuu inawezekana hiyo trillioni 1 pamoja na kuweka mifereji pembezoni mwa barabara na madaraja na gharama zingine, Hivi hiyo barabara ya mbezi mwisho- tangi bovu ni ipi hiyo?Trilioni moja kujenga km55 kweli? sawa na bil 18/km, hakiyanani hili tabasamu sio la bure! yaani madabida na mnyika wanakuwa marafiki?
Mnyika usisahau tuna kudai maji
Wewe ni Mpumbavu Mkuu, hapo waliko sasa wanachoche vurugu au wanazindua jambo la maendeleo??
Tumia kichwa cha juu kufikiria!
we kenge kwel si mmesema wao ndo wamesimamia barabara alituahid na maji ngoja tusubir oct