Mnyika na Mdee wafanya Makubwa

Mnyika na Mdee wafanya Makubwa

Jana ilikuwa uzinduzi wa ujenzi wa Barabara jimboni UBUNGO na KAWE uliotawaliwa na shangwe na nderemo kwa wakazi waliopakana na barabaza za Mbezi Mwisho-Goba-Tangi Bovu, Barabara ya External –Kilungule, Barabara ya Msewe-Baruti! Ambapo ni barabara zilizopo kwenye majimbo wa Kawe na Ubungo yaliyo chini ya CHADEMA (Ubungo- Mnyika na Kawe- Halima Mdee)

Hii ni moja ya hatua kubwa sana na muhimu katika utatuzi wa foleni ndani ya Jiji la Dar es Salaam na kuendeleza kwa kiasi kikubwa maeneo ambayo barabara hizo zinapita (ndani ya Jimbo la Ubungo).

Kutekelezwa kwa ujenzi ba barabara huyo ni kufuatia hoja na kelele wanazopiga wabunge wa upinzania bungeni(CHADEMA)na hatimaye serikali kuona haina jinsi Zaidi ya kutekeleza kilio hiki cha wananchi wa maeneo hayo.

Kwa wakati huo huo Makazi mmmoja wa jimbo la ukonga amemtaka mbunge wao Eugine Mwaiposa aache kulala bungeni na kumtaka awasemee ubovu wa barabara za jimbo lake ambapo hazifananii kuwa ndani ya jiji kubwa kama Dar es salaam.

Hongera kwa John Mnyika.
Hongera kwa Halima Mdee.
1604463_10152518477140957_3189271979921649743_n.jpg


10418444_10152518477150957_3548313443126371610_n.jpg

Trilioni moja kujenga km55 kweli? sawa na bil 18/km, hakiyanani hili tabasamu sio la bure! yaani madabida na mnyika wanakuwa marafiki?
 
Serikali yenu inawahujumu Mnyika anaitisha maandamano ninyi kimya,who ll rescue u in ths failled administration
 
Kumbe Mnyika ni waziri wa Maji?

Prof. Magembe kamshikisha adabu mnyika, kuropoka kwake ndo kulimponza naona sasa kajirudi kaanza kupata misaada ila kawa uchochoro wa kupigia hela, chezea wasomi wewe?
 
thread kam hizi huwa zinanishangaza sana. kwanini watu wasiseme ukweli tu?
ubungo mpaka leo ni kizungumkuti kuhusu maji. najua kama ingekuwa ni wishes ya mnyika basi angeanza na maji. lakini kwa sababu sio uamzi wake bali mapenzi ya serikali ya ccm.
 
katika wapumbavu na wewe umo? hv mnyika na mdee wanafaida gani katika haya majimbo zaidi kuchochea vurugu?? subiri october......
Tunawashukuru sana hawa watu wa chadema , kule kwetu KYELA wamechukua madaraka na baada ya siku 7 wakatupatia VISIMA 6 VYA MAJI , VILE AMBAVYO CCM WAMESHINDWA KWA MIAKA KARIBU 60 !
 
thread kam hizi huwa zinanishangaza sana. kwanini watu wasiseme ukweli tu?
ubungo mpaka leo ni kizungumkuti kuhusu maji. najua kama ingekuwa ni wishes ya mnyika basi angeanza na maji. lakini kwa sababu sio uamzi wake bali mapenzi ya serikali ya ccm.
Asante mkuu , lakini Topic yetu ya leo inahusu barabara .
 
Ukweri upinzani huchochea maendeleo tatizo serikali haitekelezi kwa wakati maeneo ya upinzani
 
thread kam hizi huwa zinanishangaza sana. kwanini watu wasiseme ukweli tu?
ubungo mpaka leo ni kizungumkuti kuhusu maji. najua kama ingekuwa ni wishes ya mnyika basi angeanza na maji. lakini kwa sababu sio uamzi wake bali mapenzi ya serikali ya ccm.

Shida ya maji siyo Ubungo tu.Ni karibu nchi nzima kutokana na sera mbovu za CCM.

Ni janga la Taifa
 
Tunawashukuru sana hawa watu wa chadema , kule kwetu KYELA wamechukua madaraka na baada ya siku 7 wakatupatia VISIMA 6 VYA MAJI , VILE AMBAVYO CCM WAMESHINDWA KWA MIAKA KARIBU 60 !

Popote inapotawala Chadema ni Neema kubwa.
 
Asante mkuu , lakini Topic yetu ya leo inahusu barabara .
hata hivyo usijali. upinzani mwaka huu utaongeza mengi ya kutosha tu. hata wewe kama sio mbunge changamkia fursa hii. ccm watapoteza majimbo mengi tu na hatutarajii yalioko upinzani kurudi ccm. hata hao akina mnyika, mdee wala wasijali, bado tutawachagua tu. na sioni umuhimu sana wakuja kuongopea watu kama hii thread inavyofanya. demokrasia ya kweli tutaifikia pale tu tutakapogawanyika pale bungeni kwa maana ya wanaoongoza serikali na wanaowasimamia kuwa nusu kwa nusu. ndo dunia inavyoenda kama kule kwa obama, mikel, cameroon hollande etc.
 
Tunawashukuru sana hawa watu wa chadema , kule kwetu KYELA wamechukua madaraka na baada ya siku 7 wakatupatia VISIMA 6 VYA MAJI , VILE AMBAVYO CCM WAMESHINDWA KWA MIAKA KARIBU 60 !

sidhani kama ni visima labda visimi.
 
katika wapumbavu na wewe umo? hv mnyika na mdee wanafaida gani katika haya majimbo zaidi kuchochea vurugu?? subiri october......

We we wabunge wa cdm wote hakuna wa kutochaguliwa,wacha ukichaa wako
 
Back
Top Bottom