Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,872
Tumpongeze mnyika ua Dr Pombe Magufuri mbunge wangu
Bila chadema ccm hawasogei
Tumpongeze mnyika ua Dr Pombe Magufuri mbunge wangu
Jana ilikuwa uzinduzi wa ujenzi wa Barabara jimboni UBUNGO na KAWE uliotawaliwa na shangwe na nderemo kwa wakazi waliopakana na barabaza za Mbezi Mwisho-Goba-Tangi Bovu, Barabara ya External Kilungule, Barabara ya Msewe-Baruti! Ambapo ni barabara zilizopo kwenye majimbo wa Kawe na Ubungo yaliyo chini ya CHADEMA (Ubungo- Mnyika na Kawe- Halima Mdee)
Hii ni moja ya hatua kubwa sana na muhimu katika utatuzi wa foleni ndani ya Jiji la Dar es Salaam na kuendeleza kwa kiasi kikubwa maeneo ambayo barabara hizo zinapita (ndani ya Jimbo la Ubungo).
Kutekelezwa kwa ujenzi ba barabara huyo ni kufuatia hoja na kelele wanazopiga wabunge wa upinzania bungeni(CHADEMA)na hatimaye serikali kuona haina jinsi Zaidi ya kutekeleza kilio hiki cha wananchi wa maeneo hayo.
Kwa wakati huo huo Makazi mmmoja wa jimbo la ukonga amemtaka mbunge wao Eugine Mwaiposa aache kulala bungeni na kumtaka awasemee ubovu wa barabara za jimbo lake ambapo hazifananii kuwa ndani ya jiji kubwa kama Dar es salaam.
Hongera kwa John Mnyika.
Hongera kwa Halima Mdee.
![]()
![]()
Mdee toka awe mbunge jana ndio nimemuona Kawe
Mnyika usisahau tuna kudai maji
Kumbe Mnyika ni waziri wa Maji?
Mimi pia namwita Magufuli jembe. Tanzania imemtumia huyu mtu chini ya kiwango sana. Alitakiwa awe waziri mkuu
Kumbe Mnyika ni waziri wa Maji?
Tunawashukuru sana hawa watu wa chadema , kule kwetu KYELA wamechukua madaraka na baada ya siku 7 wakatupatia VISIMA 6 VYA MAJI , VILE AMBAVYO CCM WAMESHINDWA KWA MIAKA KARIBU 60 !katika wapumbavu na wewe umo? hv mnyika na mdee wanafaida gani katika haya majimbo zaidi kuchochea vurugu?? subiri october......
Asante mkuu , lakini Topic yetu ya leo inahusu barabara .thread kam hizi huwa zinanishangaza sana. kwanini watu wasiseme ukweli tu?
ubungo mpaka leo ni kizungumkuti kuhusu maji. najua kama ingekuwa ni wishes ya mnyika basi angeanza na maji. lakini kwa sababu sio uamzi wake bali mapenzi ya serikali ya ccm.
thread kam hizi huwa zinanishangaza sana. kwanini watu wasiseme ukweli tu?
ubungo mpaka leo ni kizungumkuti kuhusu maji. najua kama ingekuwa ni wishes ya mnyika basi angeanza na maji. lakini kwa sababu sio uamzi wake bali mapenzi ya serikali ya ccm.
Tunawashukuru sana hawa watu wa chadema , kule kwetu KYELA wamechukua madaraka na baada ya siku 7 wakatupatia VISIMA 6 VYA MAJI , VILE AMBAVYO CCM WAMESHINDWA KWA MIAKA KARIBU 60 !
hata hivyo usijali. upinzani mwaka huu utaongeza mengi ya kutosha tu. hata wewe kama sio mbunge changamkia fursa hii. ccm watapoteza majimbo mengi tu na hatutarajii yalioko upinzani kurudi ccm. hata hao akina mnyika, mdee wala wasijali, bado tutawachagua tu. na sioni umuhimu sana wakuja kuongopea watu kama hii thread inavyofanya. demokrasia ya kweli tutaifikia pale tu tutakapogawanyika pale bungeni kwa maana ya wanaoongoza serikali na wanaowasimamia kuwa nusu kwa nusu. ndo dunia inavyoenda kama kule kwa obama, mikel, cameroon hollande etc.Asante mkuu , lakini Topic yetu ya leo inahusu barabara .
Tunawashukuru sana hawa watu wa chadema , kule kwetu KYELA wamechukua madaraka na baada ya siku 7 wakatupatia VISIMA 6 VYA MAJI , VILE AMBAVYO CCM WAMESHINDWA KWA MIAKA KARIBU 60 !
katika wapumbavu na wewe umo? hv mnyika na mdee wanafaida gani katika haya majimbo zaidi kuchochea vurugu?? subiri october......
sidhani kama ni visima labda visimi.