Mnyika na Mdee wafanya Makubwa

Mnyika na Mdee wafanya Makubwa

Standalone

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2014
Posts
676
Reaction score
576
Jana ilikuwa uzinduzi wa ujenzi wa Barabara jimboni UBUNGO na KAWE uliotawaliwa na shangwe na nderemo kwa wakazi waliopakana na barabaza za Mbezi Mwisho-Goba-Tangi Bovu, Barabara ya External –Kilungule, Barabara ya Msewe-Baruti! Ambapo ni barabara zilizopo kwenye majimbo wa Kawe na Ubungo yaliyo chini ya CHADEMA (Ubungo- Mnyika na Kawe- Halima Mdee)

Hii ni moja ya hatua kubwa sana na muhimu katika utatuzi wa foleni ndani ya Jiji la Dar es Salaam na kuendeleza kwa kiasi kikubwa maeneo ambayo barabara hizo zinapita (ndani ya Jimbo la Ubungo).

Kutekelezwa kwa ujenzi ba barabara huyo ni kufuatia hoja na kelele wanazopiga wabunge wa upinzania bungeni(CHADEMA)na hatimaye serikali kuona haina jinsi Zaidi ya kutekeleza kilio hiki cha wananchi wa maeneo hayo.

Kwa wakati huo huo Makazi mmmoja wa jimbo la ukonga amemtaka mbunge wao Eugine Mwaiposa aache kulala bungeni na kumtaka awasemee ubovu wa barabara za jimbo lake ambapo hazifananii kuwa ndani ya jiji kubwa kama Dar es salaam.

Hongera kwa John Mnyika.
Hongera kwa Halima Mdee.
1604463_10152518477140957_3189271979921649743_n.jpg


10418444_10152518477150957_3548313443126371610_n.jpg
 
Huyu Madabida anafuata nini sasa kwenye sherehe hizi? haya mambo sio ya chama jamani ya ya serikali? kwanza we Madabida ile kesi yako ya ARV feki umesha sort out ? au unajikalisha tu karibu na magreda hapo
 
Kwa kashifa nziito aliyokuwa nayo Madabida ya ARV feki,watu wamekufa kwa kupewa dawa feki,sikutegemea kama angekuwa na madaraka yoyote ndani ya Chama,lakini hiyo ndiyo CCM......hiyo ndiyo Tanzania.
 
Huyu Madabida anafuata nini sasa kwenye sherehe hizi? haya mambo sio ya chama jamani ya ya serikali? kwanza we Madabida ile kesi yako ya ARV feki umesha sort out ? au unajikalisha tu karibu na magreda hapo

Wanajikomba Mkuu wangu.....
 
Jana ilikuwa uzinduzi wa ujenzi wa Barabara jimboni UBUNGO na KAWE uliotawaliwa na shangwe na nderemo kwa wakazi waliopakana na barabaza za Mbezi Mwisho-Goba-Tangi Bovu, Barabara ya External –Kilungule, Barabara ya Msewe-Baruti! Ambapo ni barabara zilizopo kwenye majimbo wa Kawe na Ubungo yaliyo chini ya CHADEMA (Ubungo- Mnyika na Kawe- Halima Mdee)

Hii ni moja ya hatua kubwa sana na muhimu katika utatuzi wa foleni ndani ya Jiji la Dar es Salaam na kuendeleza kwa kiasi kikubwa maeneo ambayo barabara hizo zinapita (ndani ya Jimbo la Ubungo).

Kutekelezwa kwa ujenzi ba barabara huyo ni kufuatia hoja na kelele wanazopiga wabunge wa upinzania bungeni(CHADEMA)na hatimaye serikali kuona haina jinsi Zaidi ya kutekeleza kilio hiki cha wananchi wa maeneo hayo.

Kwa wakati huo huo Makazi mmmoja wa jimbo la ukonga amemtaka mbunge wao Eugine Mwaiposa aache kulala bungeni na kumtaka awasemee ubovu wa barabara za jimbo lake ambapo hazifananii kuwa ndani ya jiji kubwa kama Dar es salaam.

Hongera kwa John Mnyika.
Hongera kwa Halima Mdee.
1604463_10152518477140957_3189271979921649743_n.jpg


10418444_10152518477150957_3548313443126371610_n.jpg

katika wapumbavu na wewe umo? hv mnyika na mdee wanafaida gani katika haya majimbo zaidi kuchochea vurugu?? subiri october......
 
Mimi pia namwita Magufuli jembe. Tanzania imemtumia huyu mtu chini ya kiwango sana. Alitakiwa awe waziri mkuu
 
Hongerani sana Makamanda

Mungu awape nguvu siku zote!!!!!
 
katika wapumbavu na wewe umo? hv mnyika na mdee wanafaida gani katika haya majimbo zaidi kuchochea vurugu?? subiri october......
Wewe ni Mpumbavu Mkuu, hapo waliko sasa wanachoche vurugu au wanazindua jambo la maendeleo??

Tumia kichwa cha juu kufikiria!
 
katika wapumbavu na wewe umo? hv mnyika na mdee wanafaida gani katika haya majimbo zaidi kuchochea vurugu?? subiri october......

MM WEWE NDO UTAKUWA MJINGA PIA MPUMBAF, UMUONI APO MAGUFURI KATIKATI YA BENDERA YA CHADEMA TENA KWA FURAHA TELEEE???? MBWIGA ww.
 
katika wapumbavu na wewe umo? hv mnyika na mdee wanafaida gani katika haya majimbo zaidi kuchochea vurugu?? subiri october......
Mkuu wewe hujaona jambo la kuchangia mpaka utukane?!! hata hivyo kiburi chenu mwisho novemba.
 
katika wapumbavu na wewe umo? hv mnyika na mdee wanafaida gani katika haya majimbo zaidi kuchochea vurugu?? subiri october......

Ivi wewe c upite vile kati ya wezi na waleta maendeleo kama kina Mnyika na Mdee wepi wanaleta vurugu?Endelea kushikiwa akili maana hujitambui
 
katika wapumbavu na wewe umo? hv mnyika na mdee wanafaida gani katika haya majimbo zaidi kuchochea vurugu?? subiri october......

We ovyooo kabisa, usituletee mambo ya zamani kusema eti wapinzani wataleta vita, shenzi nyie mnaleta vurugu kwa watu walostaarabika, kama wataleta vurugu si muwakamate, unadhalilisha serikali yako weye!! Usirudie tena.
 
Back
Top Bottom