Mnyika, mbona huonekani jimboni?

Mnyika, mbona huonekani jimboni?

Nasema hivi,dar kuna majimbo mangapi?nijuavyo mimi ni majimbo 2 tu yanaongozwa na chadema.najua hakuna sehemu kuna shida ya maji kama kinondoni kwa Idd Hazzan naamini na hayo mengine kuna kero kibao,swali ni kwanini wanachadema muishio dar mkubali kila mara Mnyika tu ndio anayeleumiwa hapa Jf as if hajafanya kitu,mnashidwa nini kuwaanika na hao magamba hapa?
Nitarudi
 
Natumain umzima na unaendelea vizuri na majukumu yakoo..mimi ni mpiga kura wangu kaka tena nilikuwa mbele kuona ukiingia madarakani lakini sasa mambo yamekuwa kinyume na sikuone tena huku jimboni kwako Maeneo ya manzese, kwamfuga mbwa na ukombozi....

Ukweli huku hali ni mbaya sana na hatuna pa kukimbilia, huduma ya maji ni kiama, miundo mbinu ni uchafu mtupu, takataka ndo usiseme spidi ya kukusanya hela ya taka ni kubwa kuliko huduma yake, barabara zimeekwa taa ila ziliwaka siku moja na nadhani zitawaka tena siku MH RAIS AKITEMBELEA MANZESE USIKU....! Yapo mengi ya kuongea na wewe kuhusu jimbo lako .........

WAKE UP GUY DON'T LET US DOWN

Mbunge alikuwa Bungeni na ndiyo wamemaliza!! Pili matatizo ya jimbo la Ubungo ni makubwa na SSM wanatumia loop hole hiyo kuhakikisha hayatekelezwi ili waweze kurejesha kiti 2015. Kuna watu wamepewa maagizo kabisa wasishughulikiw habari ya maji na miundombinu ya Ubungo kwa sababu maalum. Take my Words!!! Cha msingi Mh. Mnyika ajaribu kukutana na kamati yake wajipange zaidi ikiwezekana waandike hata project proposal kuomba msaada wa wafadhili moja kwa moja!!! Kwa serikali ya SSM hakuna huduma Ubungo itapata, ikiwemo Kawe sema Kawe kwa huduma ya maji ipo kwa kipindi chote japo si kote maana maji yao yanatoka Ruvu Chini!! Nina imani Mh.. Mnyika atakuwa na taarifa za hujuma za huduma na miundombinu Ubungo!! Inafanyika makusudi!
 
Mnyika anatumikia chama kwanza nyie watu wa ubungo subirini kwanza.
 
Huko jimboni kwenu alishawaaga toka tarehe 31/10/2010, hana alichosahau. Kazi ya hawa jamaa ni kupiga kelele tu na maandamano yasiyo na tija. Muda mwingi anashinda KANISANI pale Kibangu anaombea watu. Katibu wake mkuu (KATIBU MKUU WA CHADEMA) ni PADRI, unafikiri MNYIKA atakuwa nani? Yupo anajinafasi kwa kula mwili wa YESU kanisani.
ni kweli mkuu kama huku kwetu maeneo ya temeke mbunge kumuona ni msamiati, sijui na yeye anashinda wapi?
 
Mnyika anatumikia chama kwanza nyie watu wa ubungo subirini kwanza.
sababu aligombea kupitia tiketi ya chama, kama ccm yote leo ipo kizota, badala ya kutekeleza ahadi zao.
 
Siyo Manzese pekee, hata Kimara Baruti kuna shinda ya maji kupita kiasi, shida ya maji ndio iliyomtoa mbuge aliyemtangulia, nashangaa hata yeye amesahau, nadhani amechoka kuwa mbuge, shida iliyotufanya tukuchague haujaitekeleza hata chembe, ukiendelea hivyo jiandae kuwakabithi jimbo magamba maana hautakuwa na cha kusema.
na wewe upo tayari kuwapa magamba?
 
Dogo yuko bizness sana hata mjengoni alikuwa anapiga dili the whole tyme subirini 2015 Nape atawafaa
 
Mnyika anatumikia chama kwanza nyie watu wa ubungo subirini kwanza.
mkuu hata hapa ukonga mbunge wetu haonekani toka tumempa kula na hata bungeni haongei sijui katekwa?
 
Natumain umzima na unaendelea vizuri na majukumu yakoo..mimi ni mpiga kura wangu kaka tena nilikuwa mbele kuona ukiingia madarakani lakini sasa mambo yamekuwa kinyume na sikuone tena huku jimboni kwako Maeneo ya manzese, kwamfuga mbwa na ukombozi....

Ukweli huku hali ni mbaya sana na hatuna pa kukimbilia, huduma ya maji ni kiama, miundo mbinu ni uchafu mtupu, takataka ndo usiseme spidi ya kukusanya hela ya taka ni kubwa kuliko huduma yake, barabara zimeekwa taa ila ziliwaka siku moja na nadhani zitawaka tena siku MH RAIS AKITEMBELEA MANZESE USIKU....! Yapo mengi ya kuongea na wewe kuhusu jimbo lako .........

WAKE UP GUY DON'T LET US DOWN
Haya mambo ni magumu matatatizo ni makubwa kila sehemu,masaki nako nafikiri maboza bado yanapeleka maji,lakini ninachotaka kukufumbua ndugu yangu,bado CCM na serikali kwa ujumla wanashindana kuiba mali ya umma na si rahisi kwa serikali kutatua matatatizo kama ya huko kwenu,hata ungempa yule mama wa CCM tatizo lisingefutika maana kilichobaki ni kusukuma maji yaweze kupita kwenye bomba za wachina mpaka kwako,lakini lahasha,tunachotakiwa kwa upande wetu ni kuliombea sana TAIFA letu hali ni mbaya,kitu kingine tunachotakiwa kufanya ni kuhakikisha tunaiondoa kabisa CCM ili tuanze 1 na tuhakikishe ya kuwa sisi tunaowachagua viongozi tuna nguvu ya kuwawajibisha,katiba mpya ni kiini macho hakuna suluhu hapo juu ya sisi kuwa na nguvu juu ya wale tunao wachagua.
Nakuomba uyatafakari hayo juu kabla ya kuwalaumu wabunge wetu kwa mambo kama hayo na mengine kwa ujumla wake.
 
Mnyika anatumikia chama kwanza nyie watu wa ubungo subirini kwanza.

Kuwa mwenye kufikiri sio kila kitu ni utoto utoto,sikiliza wimbo wa judith Wambura maarufu kama Wanaume kama mabinti ujumbe wake uko sawa sana.
 
Yule dogoo 2015 harudi.Amejaa misifa tu mungu amsaidie miaka yake miwili.Abaki na ukatibu wenezi wake ndo unamfaa.
Wivu mbaya sana, kufanikiwa kisiasa kwa Mnyika kuna kuuma sana.

Unatuonea wivu wananchi
wa Ubungo kwa kuletewa maendeleo ya msingi kutoka kwa mbunge wetu kijana.
 
Kukosekana maji jimbo la ubungo si lawama kwa mbunge Mnyika tu bali ni udhaifu wa serekali na wizara kwa ujumla,kwani umeshawahi kujiuliza wabunge waote wa dar kama wangeunganisha nguvu kupambambana na kero ya maji hili tatizo si lingekuwa historia?kuliko kila siku watu kukomaa kuanzisha mada hapa wakomae kuanzaisha mada namna ya kunganisha nguvu kwani wanaoumia ni raia sio wabunge.
Mnyika ni bora sana kuliko mbunge yeyote aliyewahi kuwapo Ubungu na hamtampata kama Mnyika!
 
Nasema hivi,dar kuna majimbo mangapi?nijuavyo mimi ni majimbo 2 tu yanaongozwa na chadema.najua hakuna sehemu kuna shida ya maji kama kinondoni kwa Idd Hazzan naamini na hayo mengine kuna kero kibao,swali ni kwanini wanachadema muishio dar mkubali kila mara Mnyika tu ndio anayeleumiwa hapa Jf as if hajafanya kitu,mnashidwa nini kuwaanika na hao magamba hapa?
Nitarudi

Hakuna anaye ogopwa humu,kichaa akukuvua nguo na wewe ukaanza kumfukuza uchi wewe ndio utaonekana kichaa.
 
Miaka 50 ya uhuru bado unadai ungeuliza Prof Maghembe ungeeleweka zaidi kama wewe siyo mpiga propaganda ya kina mwigulu na nepi
 
Mnyika anatumikia chama kwanza nyie watu wa ubungo subirini kwanza.[/QUObTE]
Mkwele anatumikia kwanza familia yake, kisha mabwana zake wa kule Unmgm.Zjlaya, na mwisho wale magaidi chama chake hakijui na wanaichi wahajui.
 
Back
Top Bottom