regam
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 269
- 51
Wewe utakuwa ni dhaifu mboma unashikilia Bango hivoooo!
Mnyika kumwita raisi kikwete ni dhaifu ni mawazo yake na uhuru wake wa kikatiba. Mboma awamu hii hajaambiwa alete vielelezo vya kuthibitisha kwamba ****** ni dhaifu? Mara kibao wanaambiwa walete vielelezo!
Mnyika kumwita raisi kikwete ni dhaifu ni mawazo yake na uhuru wake wa kikatiba. Mboma awamu hii hajaambiwa alete vielelezo vya kuthibitisha kwamba ****** ni dhaifu? Mara kibao wanaambiwa walete vielelezo!