Mnyika kwenye hatihati kupoteza jimbo

Mnyika kwenye hatihati kupoteza jimbo

Verily Verily

Senior Member
Joined
Jan 4, 2007
Posts
192
Reaction score
148
Ndugu John Mnyika (MB Jimbo la Ubungo)ambaye anagombea jimbo la Kibamba yuko hatarini kupoteza jimbo la Kibamba, pamoja na kuwa kitaifa ni miongoni wa wabunge bora kabisa kwa sasa.

Wasiwasi wa kupoteza jimbo la kibamba inatokana na mambo yafuatayo:

1. Kushindwa kabisa kushughulikia suala la ukosefu wa maji kwa miaka nenda rudi maeneo ya Mbezi, Kima, Ubungo na Kibamba. Je nini tofauti yako kama mpinzani, katika kero hii , na wabunge wa CCM waliokutangulia?
2. Kusuasua kwa miradi ya barabara katika maeneo hayo
3. Kutokuwa karibu na wapigakura wake vya kutosha. Mfano simu zake zote hazipatikani.
4. Kuwa na mshindani imara Dr. Fenella Mukagara na ambaye yuko makini sana na masuala ya msingi san yaani maji na barabara


Najua litakuwa ni pigo kwa taifa kwa mtu kama John Myika kukosekana katika bunge lijalo lakini hio ndo hali halisi.

Mheshimiwa J.Mnyika kama kweli una utetezi kuhusu jinsi unavojipanga kushughulikia (kwa maana naamini kwa miaka mitano iliyopita najua hakuna tangeable achievement) kero hizo hebu njoo hapa ujibu. Usiunder-estimate nguvu ya mtandao katika masuala ya kampeni hasa kwa mwaka huu.

Tunasubiri kusikia toka kwako Ndugu J. MANYIKA.
 
Ndugu John Mnyika (MB Jimbo la Ubungo)ambaye anagombea jimbo la Kibamba yuko hatarini kupoteza jimbo la Kibamba, pamoja na kuwa kitaifa ni miongoni wa wabunge bora kabisa kwa sasa.

Wasiwasi wa kupoteza jimbo la kibamba inatokana na mambo yafuatayo:

1. Kushindwa kabisa kushughulikia suala la ukosefu wa maji kwa miaka nenda rudi maeneo ya Mbezi, Kima, Ubungo na Kibamba. Je nini tofauti yako kama mpinzani, katika kero hii , na wabunge wa CCM waliokutangulia?
2. Kusuasua kwa miradi ya barabara katika maeneo hayo
3. Kutokuwa karibu na wapigakura wake vya kutosha. Mfano simu zake zote hazipatikani.
4. Kuwa na mshindani imara Dr. Fenella Mukagara na ambaye yuko makini sana na masuala ya msingi san yaani maji na barabara


Najua litakuwa ni pigo kwa taifa kwa mtu kama John Myika kukosekana katika bunge lijalo lakini hio ndo hali halisi.

Mheshimiwa J.Mnyika kama kweli una utetezi kuhusu jinsi unavojipanga kushughulikia (kwa maana naamini kwa miaka mitano iliyopita najua hakuna tangeable achievement) kero hizo hebu njoo hapa ujibu. Usiunder-estimate nguvu ya mtandao katika masuala ya kampeni hasa kwa mwaka huu.

Tunasubiri kusikia toka kwako Ndugu J. MANYIKA.

1.Mnyika hapokei KODI na hivyo hana responsibility ya kuleta maji kwenye jimbo lake,responsibility za Mnyika zilikuwa kufuatilia na amefanya kwa nguvu zake zote.Ila kwa sababu ya tabia ya serikali ya CCM kuyanyima majimbo ya UPINZANI pesa za maendeleo na maji hili ndilo tatizo.

2.Kazi ya kujenga barabara nadhani mtu muafaka wa kunyimwa kura ni Magufuli maana ndiyo ilikuwa wizara yake,lakini Mnyika amejitahidi mpaka kwa kiwango alichofikia kwa miaka mitano tu anastahili pongezi.

3.Mnyika ameitisha sana mikutano tuliohudhuria tunafahamu hili na katika wabunge ambao hajawaacha wapiga kura wake ni Mnyika.

4.Dr.Fenela wala siyo mshindnai imara labda kwenye issue ya kuhonga maana pesa ya mama iko nje nje,na inatolewa bila hata kificho.

Kwa wanaKibamba tunajua nani anatufaa na ndiyo tutakaye mchagua,lakini Dr.Fenela aliyeliingizia taifa hasara ya Bilioni sita kumlipa Kubenea hatufai hata kidogo.

Na kwa information wakati wa shida na raha tupo pamoja na mbunge wetu.

Yaani huku kwetu ni Mnyika tu,Fenela hana nyimbo.Njoo ututembelee halafu ujue nani ni nani.Ila mwambieni Madame Fenela aache kuhonga imetosha sasa abakize za kesho.
 
Post yako umeiandika kibwege sana swala la maji ni la nchi nzima wala siyo kwa mnyika tu
Pili mnyika hakusanyi kodi angeleta maji kwa pesa yake mfukoni
Tatu wewe unaushaidi gani kama alikuwa mbali na wapiga kura wake?
Nne wewe umeshampata mshindi kabla hata ya tarehe 25 hizo kura zimepigwa saa ngapi
Wakati mwingine tumia akili kidogo kuwasilisha maoni yako usitumie nguvu saana
 
are u dreaming?

Kaka pesa za madame hizo Mama anahonga kweli kweli acha kabisa.Lakini wenzake walimwambie jimbo gumu nadhani hakujua.Alikodisha maUDA akiwa na samia huko Mpiji/Magoe ambako ndiko wakazi wengi wa eneo la Kibamba wapo aliambulia watu wachache mno,pamoja na kukodisha magari.
 
Unacheza wewe na mawazo yako finyu.hata watoto wadogo wanamtambua mnyika kwa kupigania wananchi wake,nahisi umetumwa ww
 
Mnyika hajawahi kuwa mbunge wa maana hata siku moja ni kilele tu ndiyo anaziweza.
 
Ujinga ni kumsikiliza mjinga akibwabwaja...
 
Mimi sio mkazi wa Kibamba ila mkazi wa jimbo la ukonga. Lakini niliona mnyika alivyokuwa akilivalia njuga suala la maji jimboni kwake, juhudi alifanya sana, kama maji ni shida basi ni serikali iliamua kumkomoa kwa vile anatoka upinzani. Hivyo dawa ya maji huko kwa mnyika ni kuchagua ukawa kuanzia ngazi ya raisi, ubunge na udiwani, maana ccm wana hila na ni kama hawajui vyama vingi vipo kisheria. Kwa vyovyote naamini huduma ya maji sio hela kutoka mfuko binafsi wa mbunge, cha msingi mbunge aonyeshe jinsi alivyopambana huduma ipatikane kwa kodi za wananchi. Huku kwetu ukonga maji yapo ya visima vya kujimba.
 
Ndugu John Mnyika (MB Jimbo la Ubungo)ambaye anagombea jimbo la Kibamba yuko hatarini kupoteza jimbo la Kibamba, pamoja na kuwa kitaifa ni miongoni wa wabunge bora kabisa kwa sasa.

Wasiwasi wa kupoteza jimbo la kibamba inatokana na mambo yafuatayo:

1. Kushindwa kabisa kushughulikia suala la ukosefu wa maji kwa miaka nenda rudi maeneo ya Mbezi, Kima, Ubungo na Kibamba. Je nini tofauti yako kama mpinzani, katika kero hii , na wabunge wa CCM waliokutangulia?
2. Kusuasua kwa miradi ya barabara katika maeneo hayo
3. Kutokuwa karibu na wapigakura wake vya kutosha. Mfano simu zake zote hazipatikani.
4. Kuwa na mshindani imara Dr. Fenella Mukagara na ambaye yuko makini sana na masuala ya msingi san yaani maji na barabara


Najua litakuwa ni pigo kwa taifa kwa mtu kama John Myika kukosekana katika bunge lijalo lakini hio ndo hali halisi.

Mheshimiwa J.Mnyika kama kweli una utetezi kuhusu jinsi unavojipanga kushughulikia (kwa maana naamini kwa miaka mitano iliyopita najua hakuna tangeable achievement) kero hizo hebu njoo hapa ujibu. Usiunder-estimate nguvu ya mtandao katika masuala ya kampeni hasa kwa mwaka huu.

Tunasubiri kusikia toka kwako Ndugu J. MANYIKA.

1. Mnyika hakuwa waziri wa maji, kazi ya mbunge ni kuisimamia serikali na Mnyika kapiga kelele sana za uhaba wa maji jimboni Ubungo kila mtanzania anajua hata kama haishi Ubungo. Kwa hili mpe adhabu waziri wa maji prof Maghembe
2. Mnyika hakuwa waziri wa ujenzi, hili nalo unae wa kumwajibisha ambaye ni John Pombe Magufuli usinpe kura yako.
3.Kuwa karibu na wapiga kura ni kuitisha vikao na mikutano ya hadhara, kwa hili Mnyika kafanya sana na kuhusu simu yake tatizo wewe ukipiga unataka pesa ndo maana alikublock.
4. Kati ya wabunge wasio na ushindani mkubwa ni Mnyika, Dr. Fenella ni miongoni mwa watendaji waliotumia vibaya madaraka mfano alilifungia Mwanahalisi na mahakama ikasema hakuwa sahihi na matokeo yake serikali italipa mabilioni ya pesa zetu.

Kama una akiba ya unachotaka kujua,unakaribishwa tena ila nikukumbushe,kabla ya kupost fanya research usije hapa kama unatutest sisi malofa na wapumbavu. Akili tunazo za utambuzi.
 
Mnyika hajawahi kuwa mbunge wa maana hata siku moja ni kilele tu ndiyo anaziweza.

Kwa akili zako Mnyika utamlinganisha na Mbunge gani wa CCM kwa jinsi alivyotimiza wajibu wake kama Mbunge?

Kuwasemea wapiga kura wake na watanzania kwa ujumla Bungeni.

Kuisimamia Serikali katika kutekeleza miradi ya Maendeleo Jimboni kwake na Taifa kwa Ujumla?

Muwe mnaacha ushabiki wa ki......
 
Ndugu John Mnyika (MB Jimbo la Ubungo)ambaye anagombea jimbo la Kibamba yuko hatarini kupoteza jimbo la Kibamba, pamoja na kuwa kitaifa ni miongoni wa wabunge bora kabisa kwa sasa.

Wasiwasi wa kupoteza jimbo la kibamba inatokana na mambo yafuatayo:

1. Kushindwa kabisa kushughulikia suala la ukosefu wa maji kwa miaka nenda rudi maeneo ya Mbezi, Kima, Ubungo na Kibamba. Je nini tofauti yako kama mpinzani, katika kero hii , na wabunge wa CCM waliokutangulia?
2. Kusuasua kwa miradi ya barabara katika maeneo hayo
3. Kutokuwa karibu na wapigakura wake vya kutosha. Mfano simu zake zote hazipatikani.
4. Kuwa na mshindani imara Dr. Fenella Mukagara na ambaye yuko makini sana na masuala ya msingi san yaani maji na barabara


Najua litakuwa ni pigo kwa taifa kwa mtu kama John Myika kukosekana katika bunge lijalo lakini hio ndo hali halisi.

Mheshimiwa J.Mnyika kama kweli una utetezi kuhusu jinsi unavojipanga kushughulikia (kwa maana naamini kwa miaka mitano iliyopita najua hakuna tangeable achievement) kero hizo hebu njoo hapa ujibu. Usiunder-estimate nguvu ya mtandao katika masuala ya kampeni hasa kwa mwaka huu.

Tunasubiri kusikia toka kwako Ndugu J. MANYIKA.

Acha kupotosha jamii kwani kazi za mbunge ni 1. Kuwakilisha wananchi wake bungeni 2. Kutunga sheria bungeni 3. Kuisimamia na kuishauri serekali. Hizo ndio kazi za mbunge na kazi ya kujenga barabara na kuleta maji ni kazi ya serekali. Nyie ndio mnapotosha umma kwamba mmbunge ndio anajenga barabara kitu ambacho sio kweli. Ukiona mbunge kajenga barabara ni kwa ushawishi wake binafsi na sio jukumu lake kama mmbunge. Kama ni hivyo mbona kuna majimbo hayawahi kuwakilishwa na wapinzani toka nchi hii ipate uhuru na bado hakuna maji wala umeme na mambo kama hayo?
 
Fenela kafanya lipi? Kutoa mipira ili wacheze kombe lake pale kimara ndio kipaumbele. Wanaubungo tunamjua mnyika na tunaelewa uwezo wake toka 2010 ndio maana alipata kura za kumtosha. Nna imani hata kibamba hawatashindwa kufanya hivyo pia.
 
Wana kibamba wamechoshwa na mwendo wa mbunge huyo ambaye kwenye kipindi chake chote ameshindwa hata kuitisha mkutano na kuwambia wananchi kuhusu mwendeleo wa jimbo lao ilihali kuna fedha za jimbo ambazo amekuwa akizitumia kwa maslahi yake binafsi baadala ya kuwapa wananchi ambao wamekwa taabani kwa kila sehemu ikiwemo barabara, afya na maji ambayo ndyo kero kubwa kwa wananchi walio wengi
 
Hivi inakusaIDIA NINI KUWA KIBARAKA WA HABARI? ACHA KUTUMIKA WEWE UNAJUA MNYIKA AMEJENGA HOJA NGAPI BUNGENI? TENA ZA KITAIFA ACHA KULETA HOJA NYEPESIHAPA
 
Back
Top Bottom