Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Kaimu Katibu Mkuu wa CHADEMA Taifa, John Mnyika ameonyesha masikitiko yake juu ya Jaji anayeendesha kesi yao kutofika Mahakamani na kesi hiyo imepelekwa mbele hadi Julai 10, 2025
Mnyika ameeleza kuwa tayari wameshaandika barua ya kuonyesha kutokuwa na imani na Jaji huyo na kutaka aondolewe na shauri hilo apangiwe Jaji mwingine.
Soma pia: Pre GE2025 - Kesi iliyofunguliwa na Saidi Issa na wenzake wawili (2) dhidi ya CHADEMA yaahirishwa. Jaji ashindwa kufika mahakamani
Mnyika ameeleza kuwa tayari wameshaandika barua ya kuonyesha kutokuwa na imani na Jaji huyo na kutaka aondolewe na shauri hilo apangiwe Jaji mwingine.
Soma pia: Pre GE2025 - Kesi iliyofunguliwa na Saidi Issa na wenzake wawili (2) dhidi ya CHADEMA yaahirishwa. Jaji ashindwa kufika mahakamani