Chadema bhana. Yaani wanajidai kama mbowe kashashinda wakati bado ngoma mbichi kabisa.
Temana tu na hilo zoba linakera kupita maelezo.Umekuwa kituko Cha jf mtu akitaka kucheka anakuja kusoma uharo wako
Hahaha uwiiWasifute kwanza mpaka Sirro aende kufanyiwa cross examination tuone anavyojikojolea kizimbani.
Kenge Jiwe alidhani ni malaika sasa hivi anaozea kuzimi amebaki fuvu tu.Sirro alisema chadema wanadhani mbowe ni malaika, ukute kuna kenge zingine za ufipa zinadhani mbowe hanyi.
Umepata yako iliyokuwa unadai?Njaa itakuuwa acha hizoMnyika asubilie mbowe apigwe mvua za kutosha
USSR
Ushangiliaji wenu mnasahau kwamba unachangia kuwaumiza waTanzania?Katibu mkuu wa Chadema mh J J Mnyika amemtaka DPP atoe kauli ya kutotaka kuendelea na kesi ya Mbowe badala ya kuendelea kumtesa bila sababu za msingi.
Mnyika ametoa kilio chake kupitia ukurasa wake wa twitter!
Mungu ni mwema wakati wote!
Wananchi hatutakubali gaidi aachwe bila kufungwa jela. Kila aliyetenda kosa apate stahiki yake.Katibu mkuu wa Chadema mh J J Mnyika amemtaka DPP atoe kauli ya kutotaka kuendelea na kesi ya Mbowe badala ya kuendelea kumtesa bila sababu za msingi.
Mnyika ametoa kilio chake kupitia ukurasa wake wa twitter!
Mungu ni mwema wakati wote!
Huyo ndio tunamtaka sanaWasifute kwanza mpaka Sirro aende kufanyiwa cross examination tuone anavyojikojolea kizimbani.
Hawa mashahidi nadhani wanakitu wanakosaChadema wanaanza kumlilia Dpp awaone uruma acha Samia amyooshe Mbowe kwanza, mlikuwa mnasema anaupiga mwingi, Matanga na Sukuma gang ndio wanaoteseka .Kweli mda ni Mwalimu nzuri sana
Sirro alisema chadema wanadhani mbowe ni malaika, ukute kuna kenge zingine za ufipa zinadhani mbowe hanyi.
Binadamu unamwita kenge, unajua maana ya kufirisika hoja?Sirro alisema chadema wanadhani mbowe ni malaika, ukute kuna kenge zingine za ufipa zinadhani mbowe hanyi.
KOSA MOJA TUNALOLIFANYA KUWA TUNATANGAZIA ULIMWENGU KUWA NCHI YETU SI SALAMA TENA MAANA KUNA MAGAIDI.Wananchi hatutakubali gaidi aachwe bila kufungwa jela. Kila aliyestenda kosa apate stahiki yake.
Hakuna jina mubadala kwa magaidi. Muhimu tuunge mkono serikali itokomeze aina zote za ugaidi.KOSA MOJA TUNALOLIFANYA KUWA TUNATANGAZIA ULIMWENGU KUWA NCHI YETU SI SALAMA TENA MAANA KUNA MAGAIDI.
HII INAZOOFISHA BIASHARA ZA KIMATAIFA , NA HATA WATALII HAWATAPENDA KUJA SABABU TUMESHAWAELEZA KUWA KUNA MAGAID.
NINGETAMANI TUKAJISAHIHISHA NA KUTAFUTA JINA LINGINE MBADALA. NJE YA HAPO TUANUA UCHUMI WETU KWA MIKONO YETU WENYEWE.
NI BAHATI MBAYA NA TUNAJIFARIJI KUWA TUKO KATIKA HALI NZURI KIUCHUMI, KI UKWELI TUKO HALI MBAYA MNO NA TUNAZIDI KUJITAFUTIA SHIDA ISIYO YA LAZIMA.Hakuna jina mubadala kwa magaidi. Muhimu tuunge mkono serikali itokomeze aina zote za ugaidi.
Uzuri watalii na wawekezaji wanaendelea kumiminika nchini kwa sababu wanajua magaidi wanatoka kundi gani.
Nasikia chama hicho kinachowafadhili magaidi sasa hivi wazungu wanakiogopa kama ukoma.
Bashite akili zake hazina akili. Anatafuta nitoke vipi..Toka afiwe na marehemu wake chato na rafiki yake sabaya kufungwa amekua kama mwehu