johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,610
- 141,432
Hii sasa ni mpya Katibu mkuu wa CHADEMA mh J J Mnyika amemtaka DPP kufuta kesi inayomkabili mwenyekiti Mbowe baada ya Ole sabaya kuhukumiwa kwa ujambazi.
Mnyika anasema Ole Sabaya ndiye aliyesuka mipango ya kuwabambikia kesi makomandoo watatu ili Mbowe akose walinzi aweze kumdhuru.
J J Mnyika ameandika katika page yake ya Twitter.
Sabato njema!
Mnyika anasema Ole Sabaya ndiye aliyesuka mipango ya kuwabambikia kesi makomandoo watatu ili Mbowe akose walinzi aweze kumdhuru.
J J Mnyika ameandika katika page yake ya Twitter.
Sabato njema!