Mnyika Akalia Kuti Kavu

...Na wanafunzi wa chuo kikuu eeeh? mtajibeba kwa uropokaji na uzandiki mwaka huu. Mmeshikwa pabaya na Nchemba

Huyo mwizi wa EPA amshike nani? yeye ndiye wa kushikwa na kuswekwa rumande. Kama hamtaki kumshughulikia sisi tukiingia madarakani hata kama ni miaka kumi ijayo tutamshughulikia labda ahame nchi. Nchemba hana tofauti na makamba, wote waropokaji tu.
 
nimeipenda sana hiiii........
 
Papara ya nn? tulieni kwani cku 7 zimefika? huyu mgoni wenu Nchemba mnamtetea hivi si ndio huyu alikula kada wa mwenzie kule Igunga? aibu kweli kwa wana ccm
 

ninyi kambi ya Nchemba ndio mnaonekana kuchanganyikiwa.
Kama si kuchanganyikiwa,kwanini msisubiri hizo siku,muone kama mh.Mnyika atashindwa kuthibitisha madai yake?
 
Hapo kalamba karata antakiwa afute kauli mbele ya bunge na wapiga kura wake wasikie kasalenda, au asihudhurie vikao 5 mfululizo sasa atachagua kusuka au kunyoa
ohooooo!! huyu Mnyika mbona hivi tena? anakurupuka bila data! Hivi adhabu ya mbunge anayeshindwa kuthibisha huwa ni ipi? maana ni dhahiri shairi kwamba hapa Mnyika atashindwa kuthibitisha.
 
Wakati tukiendelea kusubiri ushahidi wa mnyika, mi bado na muons huyu dogo Kama mtu alolewa sifa na matokeo yake anapitiliza.
Anatakiwa ajirekebishe na tumseme kwa uwazi ili kumsaidia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…