MNYIKA aichachafya Wizara ya Afya kuhusu Madaktari

Je waweza nipa link ambapo nitaiona hiyo CV ili nilinganisha na swifa anazo lundikiwa.

Jamani hata Kama kusema swifa Ndio Kiswahili fasaha, lakini Sote tunatumia sifa, wewe wajua na sote twajua, sasa acha kuandika misamiati inayochosha Kama hii....pia mpigie simu Huyu Mnyika umuulize kwanini anasifiwa? Na Kama watu wanampenda kwa utendaji wake na wakamsifia wewe unahoji kipi ? The people of Ubungo have spoken ....and voted for him, so did some people Tanga kule wakamchagua maji marefu, sasa basi tujadili Kama anatuwakilisha vyema au amelewa hizi sifa...
 
Chadema wengi ni vichwa ktk 1. Right Knowledge 2. Right personality 3. Right attitude & 4. Right skills!Magamba yalosoma yana hyo # 1 tu,3 hadi 4 wana 10%, ZITTO & MNYIKA wte majembe ya ukwel!Mtoa mada umetumwa na magamba,umektana na wadau hum wamekulpua!
 
Hayo ndio majembe ya ukweli tunayohitaji bungeni,................... safi sana Mnyika

Anasema Bunge linapokea taarifa kutoka kwa Serikali kuhusiana na Mgomo wa Madakrari na bunge inaonekana halitaruhusiwa kujadili.
Mh Jembe Mnyika anasema Waziri ni watuhumiwa wa uzembe na bunge halipati nafasi ya kuwawajibisha iwapo bunge halitapewa nafasi ya kujadili.
Sasa Naibu Speaker sijui atakuwa Gamba leo?? kuhusu mwongozo kuruhusu Mjadala wa Bunge kwa Mgomo wa Madaktari.

Waziri anaongea.Acha nitawajibu muda si mrefu..Ila Mnyika Haki ya Mungu Kidume
 
CV haikaguliwi bali inaangaliwa tu.
Tembelea tovuti ya Bunge lenu utaona CV za wabunge wengi sana lakin Mnyika hajaweka kitu hapo.

Hapo ninajiuliza kulikoni? au ndo shule za st .. st .. ndio anaona aibu.

Wewe una uwezo wa kuiangalia?? Shule za St. ndio zenyewe unafikiri ni sawa na Uzini S.S, Sizini S.S au Mchambawima S.S za huko?? Tembea uone wewe acha kujifungia kisiwani.... Halafu ni mnyika tu hajaweka CV yake au?? Ile namba ya tofauti sawa na wabunge 100 wa magamba... akinyanyuka mawaziri tumbo moto maana wanajua kichwa......
 
Tofautisha UWEZO na ELIMU ya mtu, kamuulize marehemu Steven Job alisoma wapi kwa hayo alitoyafanya?
POOU! That is purely irrelevant. Akamuulize wapi? Atampataje? Katika makaburi gani?Je hajaenda peponi? ehee! akishamfuata huko kuzimu/peponi yeye atarudije huku duniani? amekuwa Yesu aliyefufuka siku ya tatu na kuketi kuume kwa Baba.
 
Matusi ya nini ahali yangu.

Nimeomba jambo dogo tu CV ya Mnyika na nimeweka bayana kuwa nataka nilinganishe na swifa anazolundikiwa siku hizi. Kwani kwa uzoefu wangu wa kizamani wa Tz, kuna wengi wanalundikiwa swifa lakin ukiwapima kwa kauli zao au utendaji wao utaona tofauti sana.

Nilibainisha kitu kidogo sana huko Tz. Bei ya kulipia choo cha jiji kwa kujisaidia ni Tsh 200. Na bei ya kuvuka pantoni kigamboni ni Tsh100.

Nisingefikiria msomi au mwenye akili timamu angepinga ongezeko hilo. Na mtu makini kama Mnyika angekubali hilo na kuweka andiko lake la kupinga hicho.

Hapa ndipo ninapo pata mashaka na kuomba CV yake.


Bwana Barubaru, tatizo lako siyo kuuliza CV ya Mnyika bali ni wewe kukosa mtiririko mzuri wa fikra na hoja. Watu wanaongelea jinsi Mnyika alivyoweza kuibana serikali kuhusiana na mgomo wa madaktari, mtu mwenye kichwa kilichotulia ni ama angekubali kuwa ni kweli Mnyika alikuwa na hoja katika kuihoji serikali au hakuwa na hoja, na akatoa sababu. Reference ya majadiliano ilikuwa ni hoja ya Mnyika kuhusiana na mgomo wa madaktari. Mara wewe unatumbukia na ombi la CV ya Mnyika. CV ya Mnyika anahusiana vipi na hoja yake ya kutaka maelezo kutoka serikalini kuhusiana na mgomo wa madaktari? Hii haina tofauti na watu kuongelea miradi ya ujenzi wa barabara, mara Barubaru anadondoka na ombi la CV ya Magufuli. Unapofanya hivyo unavuruga mtiririko wa hoja inayojadiliwa.
Katika mijadala mingi, unaonekana kukurupuka. Ningeweza kukufikiria kuwa una utulivu kichwani kama kwanza ungepinga au kuonesha kwa ushahidi kuwa hoja ya Mnyika ilikuwa ya kipuuzi, na baadaye ungeweza kuuhusisha upuuzi wa hoja yake na upeo wake wa elimu (kama unahisi hana elimu nzuri). Lakini siyo kama ulivyofanya, watu wanajadili hoja nyingine wewe unakurupuka na ombi lisilo na uhusiano na mjadala. Kama unahitaji CV ya Mnyika, mwulize mwenyewe Mnyika au anzisha thread inayojitegemea, na utuambie sababu ya kuhitaji CV yake maana wabunge tunao zaidi ya 300, kuna nini cha pekee kuhusiana na CV ya Mnyika!
Hakuna mtu anayesema kuwa usomi siyo muhimu kwa kiongozi ila tunachosisitiza ni kuwa usomi siyo kigezo cha performance, na mifano hai unayo mingi. Tunao wasomi wangapi ambao ni hopeless? Tunahitaji mwunganiko wa mambo mengi kwa mtu kuweza kuwa kiongozi mzuri na mwenye uwezo. Nchi yetu ina wasomi wengi lakini wengi wao siyo viongozi/watendaji wazuri kwa sababu wamekosa sifa nyinginezo ambazo ni muhimu sana. Na mahali pengine wasomi siyo tu wameshindwa kuisaidia nchi kwenda mbele bali wameididimiza, wasomi wa namna hiyo ni aheri uwe na mbumbu. Msomi anayetumia usomi wake kuiba ni afadhali kutokuwa na msomi kabisa, na wengi wa namna hiyo wamejaa huko CCM na serikali yake. Hawa siyo tu hawaisadii nchi kusonga mbele bali wanaliua Taifa la Tanzania.
 
Matusi ya nini ahali yangu.

Nimeomba jambo dogo tu CV ya Mnyika na nimeweka bayana kuwa nataka nilinganishe na swifa anazolundikiwa siku hizi. Kwani kwa uzoefu wangu wa kizamani wa Tz, kuna wengi wanalundikiwa swifa lakin ukiwapima kwa kauli zao au utendaji wao utaona tofauti sana.

Nilibainisha kitu kidogo sana huko Tz. Bei ya kulipia choo cha jiji kwa kujisaidia ni Tsh 200. Na bei ya kuvuka pantoni kigamboni ni Tsh100.

Nisingefikiria msomi au mwenye akili timamu angepinga ongezeko hilo. Na mtu makini kama Mnyika angekubali hilo na kuweka andiko lake la kupinga hicho.

Hapa ndipo ninapo pata mashaka na kuomba CV yake.


Kumbe wewe ulitakaje??waishie wapi??unaona wivu??ulitaka wamsifie Nape Mnauye??
 
ndio maana ninaomba Cv yake kwani ndanimwe nitaona hizo unazodai rekodi nzuri na mengine mengi.

Kwani naona kuna promotion nyingi sana za Mnyika lakin hakuna Cv katika tovuti ya bunge wala wapi.
Kuna siri gani kuweka CV yake hapa Ukumbini ili tumjue ana shule kiasi gani kulinganisha na hizo swifa anazopewa.




CV siyo kigezo kizuri sana cha kupima hicho unachotaka kupima.CV huandikwa na mhusika na inaweza ku capture mambo muhimu au kuyapoteza. Wapo watu wenye CV nzuri sana lakini utendaji wao zero. Kuna watu wanapata first class lakini wakipewa uwanja waonyeshe wanachoweza kufanya na vyeti vyao, wakatia aibu kwa jinsi walivyo mambumbumbu. Ndio maana CV ni mwanzo tu wa kuchuja pale una washindani wengi, na baadae washindanishe kwenye usaili wa maneno oral au wa maandishi na vitendo hapo utafaulu kupata mtu bora.John Mnyika anaonenyesha kwa maneno na vitendo na hii haina ubishi. Katika wabunge makini na wenye kutia moyo bila kujali chama wala DINI ya mtu Mnyika ni mmoja wapo.
 
Badilishenio title basi, dah!! yaani ishu imekua CV na wala sio ishu ya madaktari tena
 
Je tunaweza kuona CV ya Mnyika jamani.

Kwani nina hamu kubwa sana kuona ana shule kiasi gani huyu. Maana naona Chadema wana mpromote sana na kumkandamiza Zitto.
uwekeeni CV yake tuone shule yake sio kupewa sifa tu.


Yaani ingekuwa huku uswahilini tungekuambia toka hapa kacheze na watoto wenzako! Unachotaka ku compare ni kipi? Nani kakwambia kwamba zito na mnyika wanaushindani mpaka mmoja anabebwa? Hivi ukiposti hoja kama hizi halafu ukijiangalia kwenye kioo hujiogopi jinsi sura yako ilivyosawajika kwa utovu wa uelewa? Unapenda kutaja taja elimu za watu wakati wewe mwenyewe hata dalili za kuelimika huna!
 
Kama usomi ndo ingekuwa benchmark basi hayo MAPHD mbona yangekuwa yanawaburuza watu mle!
Hatimae wanalala!
 
Je tunaweza kuona CV ya Mnyika jamani.

Kwani nina hamu kubwa sana kuona ana shule kiasi gani huyu. Maana naona Chadema wana mpromote sana na kumkandamiza Zitto.
uwekeeni CV yake tuone shule yake sio kupewa sifa tu.


Charisma and eloquence are natural gifts. Sijui hata ikiwekwa CV yake kama itakuwa inaonyesha hizo talanta. Mie naona labda unayo hoja ambayo ungetaka kuiweka lakini maelezo yako yamekuwa too skeleton. Zitto anazo talanta zake kama ilivyo kwa wabunge wote wa CDM and all these talents merge to form unbreakable embrycal cord-CDM
 
Pole sana Dr. Barubaru, kwani kwa ufinyu wa fikra zako unaona gharama za kujisaidia ni jambo la kujadili na kumdharau mtu, lakini mchango wa mtu bungeni kwako sio swala la mhimu kwa sababu mchangiaji huyo anaitwa John na anatoka CHADEMA!natamani sana Mohamed Saidi angelikuwa bungeni kwani tusingekuwa na haja ya kuuliza CV yake, na wala tusingekuwa na mashaka kwamba mawazo anayoyatoa hakuandikiwa na watu!

sijaona nini kinasaidia kwenye cv za hao madokta wenu, wapo wengi tu ndani ya magamba lakini bado serikali ni mbaya na legelege,imejaa wezi,waongo,wabadhilifu,mafisi,wenye tamaa,wabinafsi, nawanafki wanaojifanya wajuaji wa kila jambo kumbe 0% kikubwa ni uwezo wa uongozi na wala sio mlundikano wa vyeti pumbaaaaaf!
 
Duh! tungekuwa karibu ningesema umeniibia hoja! ndo kitu nilichokuwa naandika hapa sasa hivi! ahsante kwa ku pair mawazo! manake hili jitu kwenye red linanikera we acha tu
Barubaru naona unaishi kwenye ulimwengu wa kale. Nyakati za kuangalia makaratasi ya shule ulikwishapita, siku hizi tunaangalia performance, angalia mtu anafanya nini. Elimu ni hatua ya mwanzo kwenda kwenye performance lakini yenyewe pekee yake siyo performance. Ndiyo maana kuna viongozi kama akina Kagame wasio na shahada hata moja wanaheshimika Dunia nzima huku akina Maghembe (Prof.) wakiwa si chochote si lolote. PERFORMANCE ndiyo inayoleta success and changes siyo makaratasi ya shule. Makaratasi yakusaidie kwenda kwenye performance. Kama una makaratasi lakini huwezi ku-perform you are nobody, non-material to the society.
 
CV haikaguliwi bali inaangaliwa tu.
Tembelea tovuti ya Bunge lenu utaona CV za wabunge wengi sana lakin Mnyika hajaweka kitu hapo.

Hapo ninajiuliza kulikoni? au ndo shule za st .. st .. ndio anaona aibu.

Acha kufikiri kwa kutumia masaburi wewe, kazi ya kujaza Cv kwenye tovuti ya bunge si ya John Mnyika bali ni Web admins wa bunge, Zakha Meghji mkongwe tazama wasifu wakew katika hiyo tovuti uone kama amejaziwa chochote
 
Back
Top Bottom