MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 253
Anasema Bunge linapokea taarifa kutoka kwa Serikali kuhusiana na Mgomo wa Madakrari na bunge inaonekana halitaruhusiwa kujadili.
Mh Jembe Mnyika anasema Waziri ni watuhumiwa wa uzembe na bunge halipati nafasi ya kuwawajibisha iwapo bunge halitapewa nafasi ya kujadili.
Sasa Naibu Speaker sijui atakuwa Gamba leo?? kuhusu mwongozo kuruhusu Mjadala wa Bunge kwa Mgomo wa Madaktari.
Waziri anaongea.Acha nitawajibu muda si mrefu..Ila Mnyika Haki ya Mungu Kidume
Mh Jembe Mnyika anasema Waziri ni watuhumiwa wa uzembe na bunge halipati nafasi ya kuwawajibisha iwapo bunge halitapewa nafasi ya kujadili.
Sasa Naibu Speaker sijui atakuwa Gamba leo?? kuhusu mwongozo kuruhusu Mjadala wa Bunge kwa Mgomo wa Madaktari.
Waziri anaongea.Acha nitawajibu muda si mrefu..Ila Mnyika Haki ya Mungu Kidume