Mnyika aendelea kutekeleza ahadi zake kwa speed zaidi kwani baada ya kukamilika kwa ujenzi wa madaraja yafuatayo, daraja la golani- msewe njia ya chuo kikuu, daraja la msewe ambalo kwa sasa wanaliita daraja la mnyika, daraja la golani nalo wananchi wanaliita daraja la mnyika kutoka lilikua ni tatizo kubwa kwa wakazi wa kimara suka na la muda mrefu, sasa limekamilika, daraja la matosa, daraja goba-makongo, daraja la mbezi shule ya msingi na mengineyo, kwa upande wa barabara ya manzese midizini inaendelea na ujenzi, barabara ya manzese chakula bora imekamilika na nyinginezo.
Na wiki iliyopita diwani wa kata ya saranga (chadema) Ephraim Kinyafu amepokea barua ya utambulisho wa mkandarasi atakaeanza ujenzi wa barabara ya king'ongo yenye urefu wa (km 3.8).
Bado anaendelea kusukuma katika ngazi ya manispaa, mkoa na hata taifa ili kuhakikisha anakamilisha ahadi zake kwa asilimia 99.9
Na wiki iliyopita diwani wa kata ya saranga (chadema) Ephraim Kinyafu amepokea barua ya utambulisho wa mkandarasi atakaeanza ujenzi wa barabara ya king'ongo yenye urefu wa (km 3.8).
Bado anaendelea kusukuma katika ngazi ya manispaa, mkoa na hata taifa ili kuhakikisha anakamilisha ahadi zake kwa asilimia 99.9