Leak JF-Expert Member Feb 22, 2012 52,182 42,001 Aug 25, 2012 #21 Bora Mh Mnyika ameendelea kuonesha kwa vitendo! Big up
Leak JF-Expert Member Feb 22, 2012 52,182 42,001 Aug 25, 2012 #22 Sidhani kama uumwi! Makupa said: Ujenzi wote wa madaraja umejengwa na serikali sikivu chini Amiri jeshi mkuu wetu JK Click to expand...
Sidhani kama uumwi! Makupa said: Ujenzi wote wa madaraja umejengwa na serikali sikivu chini Amiri jeshi mkuu wetu JK Click to expand...
Duble Chris JF-Expert Member May 28, 2011 3,481 564 Aug 25, 2012 #23 ngoja nami nije na orodha ya utekelezaji wa ahadi za mbunge wangu
Recta JF-Expert Member Dec 8, 2006 855 38 Sep 24, 2012 #24 Lua said: mbona hayakujengwa wakati wa keenja au amiri jeshi mkuu alikua anasubili hadi mnyika awe mbunge ndio ajenge? Click to expand... Madaraja gani yaliyojengwa Ubungo wakati wa Mnyika? Naomba ufahamu tu.
Lua said: mbona hayakujengwa wakati wa keenja au amiri jeshi mkuu alikua anasubili hadi mnyika awe mbunge ndio ajenge? Click to expand... Madaraja gani yaliyojengwa Ubungo wakati wa Mnyika? Naomba ufahamu tu.