Mnyama wa taifa la Bongo

Sasa kama unataka tusimtafune Mr. Pig we unataka tumfanyeje? Au unataka tumgeuze awe petty animal au tumuweke kwenye zoo na mbuga za wanyama for tourism? Cmon man, dis ain't what you want!
 
Karibu saba saba Tanga, ruksa kuja na barakashia
 
Aseee kama dhambi ni kula kitimoto,, kiukweli jehanam ni yangu



Mambo ya Walawi 11 : 7-8

11.7 Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.

8 Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…