Mnyaa athibitisha kuwa CUF ni CCM B!

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Dec 22, 2010
16,987
20,271
Nikili kuwa nimejiridhisha kuwa chama cha wananchi CUF kuwa ni Mke halali wa tena kesha zaa!
Hili limejidhihirisha leo ktk mdahalo wa star tv pale Moven pick huku Lisu akijibu hoja kisheria na kikatiba yeye alijibu utadhani ni katibu mwenezi wa ccm!
Yani mara ya kwanza nilidhani ni kiongozi wa ccm mbaka niliposikia mwenyekiti wa mdahalo huo akisema ni mbunge wa cuf.
 
Nikili kuwa nimejiridhisha kuwa chama cha wananchi CUF kuwa ni Mke halali wa tena kesha zaa!
Hili limejidhihirisha leo ktk mdahalo wa star tv pale Moven pick huku Lisu akijibu hoja kisheria na kikatiba yeye alijibu utadhani ni katibu mwenezi wa ccm!
Yani mara ya kwanza nilidhani ni kiongozi wa ccm mbaka niliposikia mwenyekiti wa mdahalo huo akisema ni mbunge wa cuf.
Kumpambanisha Mnyaa na Lissu ni sawa na kupambanisha BAJAJ na VOGUE
 
Nikili kuwa nimejiridhisha kuwa chama cha wananchi CUF kuwa ni Mke halali wa tena kesha zaa!Hili limejidhihirisha leo ktk mdahalo wa star tv pale Moven pick huku Lisu akijibu hoja kisheria na kikatiba yeye alijibu utadhani ni katibu mwenezi wa ccm!Yani mara ya kwanza nilidhani ni kiongozi wa ccm mbaka niliposikia mwenyekiti wa mdahalo huo akisema ni mbunge wa cuf.
Hivi angeiunga mkono chadema angekuwa chadema B? Ujinga huu wa kudhani kwamba wapinzani ni sharti wakubaliane kila kitu na wakosoe kila kitu cha chama tawala ni ujinga mkubwa. Ulitaka Mnyaa akubaliane na upotoshaji wanaoufanya akina Kitila Mkumbo ambao wanajadili hoja kwenye midahalo wakiwa ni viongozi wa chadema na wakizidiwa hoja wanaenda Chuo Kikuu na kutoa statements wakijiita ni viongozi wa UDASA. Unafiki mtupu!
 
Hivi angeiunga mkono chadema angekuwa chadema B? Ujinga huu wa kudhani kwamba wapinzani ni sharti wakubaliane kila kitu na wakosoe kila kitu cha chama tawala ni ujinga mkubwa. Ulitaka Mnyaa akubaliane na upotoshaji wanaoufanya akina Kitila Mkumbo ambao wanajadili hoja kwenye midahalo wakiwa ni viongozi wa chadema na wakizidiwa hoja wanaenda Chuo Kikuu na kutoa statements wakijiita ni viongozi wa UDASA. Unafiki mtupu!
Nakusihi siku nyingine ukipinga jambo basi leta ufafanuzi sio kutoa povu tu! Kama unahoja iweke hapa uungwe mkono kwa hoja, huna tofauti na Mnyaa wewe!
 
Naifananisha CUF sawa na mke wa mtu anaye cheat! Nje anajifanya yuko beneath na wananchi, lakini ilhali wanakaa vikao vya siri na mabwana zao CCM kuhujumu wananchi!
 
Hivi angeiunga mkono chadema angekuwa chadema B? Ujinga huu wa kudhani kwamba wapinzani ni sharti wakubaliane kila kitu na wakosoe kila kitu cha chama tawala ni ujinga mkubwa. Ulitaka Mnyaa akubaliane na upotoshaji wanaoufanya akina Kitila Mkumbo ambao wanajadili hoja kwenye midahalo wakiwa ni viongozi wa chadema na wakizidiwa hoja wanaenda Chuo Kikuu na kutoa statements wakijiita ni viongozi wa UDASA. Unafiki mtupu!
you are very right. ni upumbavu wa hali ya juu kupinga kila kitu alimradi tu aliyesema humuungi mkono ama humtambui. na haya ndiyo matatizo ya wanachama wa the so called CHAHEMA
 
Unahitaji ufafanuzi gani tena hata wewe umeongea upuuzi mtupu mbona hamna ufafanuzi katika maelezo yako? acha kujifanya mtaalamu wa kuongea wakati mwenyewe ni porojo tu. unasema lisu anaongea kulingana na katibu kivipi? na kivipi mnyaa haongei kikatiba you blocked minded?
 
Mm ni mwananchi wa kawaida nisifungamana cha siasa kile ila it's true in this context of discussion that we not consulted if u believe like Ur fellow that the constitution is meant for us and not the govt!!!!! Pls it's obvious u will say am a chadema member but we passed our sincere cry to the govt bt we landed invain.sorry for that but better the party that take heed of wananchi.
 
CUF upinzani wao ni upi ambao unaweza kutamkwa wazi na hadharani na katibu mkuu wa CUF taifa ukizingatia kuipinga serikali ya CCM kule ZNZ? Ajitokeze mtu na aseme juu ya hili kwamba siku fulani.tarehe fulani na mahali fulani makamu wa rais na katibu mkuu wa CUF TZ ameipinga serikali ya kitaifa juu ya jambo fulani lenye masilahi kitaifa na serikali ya CCM ika-admit na kisha kufuata maelekezo ya CUF ili kulinda na kutetea maslahi ya umma.Nani aseme sasa juu ya hoja hii,acheni unafiki bana,mkubali tayari mmeshaolewa na mkubali mlihamasisha watu nyie CUF kuandamana na hata mme wenu CCM kuamuru vibaraka wake POLICCM kuuwa watu takribani 23 kumbe dili yenu na kitu mlichokuwa mnakitafuta ni katibu mkuu kupewa u-makamu wa raisi tu basi.kama mnabisha tuambieni nini malengo yenu ya kuwa wapinzani?nini mlikiona hakiendi sawa kilichokuwa kinaongozwa na CCM?je LEO kimetimizwa?au je leo CCM imetekeleza yale mliyokuwa mnayapigania?tuache unafiki hapa hakuna kitu cha kuwashawishi watanazania wenye kutafakari mambo.Nauliza tena lengo lenu ilikuwa ni nini?kupata umakamu wa raisi?au kupata kitu gani,na je kipi kimebadilika katika yale mliyokuwa manayapiganaia?Tutaikomboa tu nchi hii pamoja na kuunganisha nguvu zenu na CCM A
 
Hivi angeiunga mkono chadema angekuwa chadema B? Ujinga huu wa kudhani kwamba wapinzani ni sharti wakubaliane kila kitu na wakosoe kila kitu cha chama tawala ni ujinga mkubwa. Ulitaka Mnyaa akubaliane na upotoshaji wanaoufanya akina Kitila Mkumbo ambao wanajadili hoja kwenye midahalo wakiwa ni viongozi wa chadema na wakizidiwa hoja wanaenda Chuo Kikuu na kutoa statements wakijiita ni viongozi wa UDASA. Unafiki mtupu!

Tuliza mzuka Mbopo, mihasira yote hiyo ya nini sasa!
 
CUF upinzani wao ni upi ambao unaweza kutamkwa wazi na hadharani na katibu mkuu wa CUF taifa ukizingatia kuipinga serikali ya CCM kule ZNZ? Ajitokeze mtu na aseme juu ya hili kwamba siku fulani.tarehe fulani na mahali fulani makamu wa rais na katibu mkuu wa CUF TZ ameipinga serikali ya kitaifa juu ya jambo fulani lenye masilahi kitaifa na serikali ya CCM ika-admit na kisha kufuata maelekezo ya CUF ili kulinda na kutetea maslahi ya umma.Nani aseme sasa juu ya hoja hii,acheni unafiki bana,mkubali tayari mmeshaolewa na mkubali mlihamasisha watu nyie CUF kuandamana na hata mme wenu CCM kuamuru vibaraka wake POLICCM kuuwa watu takribani 23 kumbe dili yenu na kitu mlichokuwa mnakitafuta ni katibu mkuu kupewa u-makamu wa raisi tu basi.kama mnabisha tuambieni nini malengo yenu ya kuwa wapinzani?nini mlikiona hakiendi sawa kilichokuwa kinaongozwa na CCM?je LEO kimetimizwa?au je leo CCM imetekeleza yale mliyokuwa mnayapigania?tuache unafiki hapa hakuna kitu cha kuwashawishi watanazania wenye kutafakari mambo.Nauliza tena lengo lenu ilikuwa ni nini?kupata umakamu wa raisi?au kupata kitu gani,na je kipi kimebadilika katika yale mliyokuwa manayapiganaia?Tutaikomboa tu nchi hii pamoja na kuunganisha nguvu zenu na CCM A

Aisee jigoku nakubaliana na wewe, CUF hawana namna ya kupinga uswahiba wao na ccm, ni jambo ambalo liko wazi tu. Hizi story za oooh kuwa mpinzani sio maana yake kubisha kila kitu ni usanii tu.
 
Hivi angeiunga mkono chadema angekuwa chadema B? Ujinga huu wa kudhani kwamba wapinzani ni sharti wakubaliane kila kitu na wakosoe kila kitu cha chama tawala ni ujinga mkubwa. Ulitaka Mnyaa akubaliane na upotoshaji wanaoufanya akina Kitila Mkumbo ambao wanajadili hoja kwenye midahalo wakiwa ni viongozi wa chadema na wakizidiwa hoja wanaenda Chuo Kikuu na kutoa statements wakijiita ni viongozi wa UDASA. Unafiki mtupu!

ami yenu mnyaa anajivunia ndugu zenu walivyouwawa na ccm, amesha sahau walikufa wakipigania nini, sefu ikulu basi raaha mustarehe! hoovyo, sefu alishindwa nini kuwaambia wazenji wasipinge matokeo, wasiwasusie wana ccm kwenye shughuli za kijamii mpaka wenzenu wamekufa, walikuwa wanatafuta uhalali wa kisiasa kuingia ikulu, tulipigania hakhi, je imepatikana! ila sefu akiwa ikulu sawasawa! unga mkono hata dhuluma, eeeh si tupo ikulu na sisi! hata mkipewa nchi hamuwezi kuyatenda ya wananchi!
 
Hivi angeiunga mkono chadema angekuwa chadema B? Ujinga huu wa kudhani kwamba wapinzani ni sharti wakubaliane kila kitu na wakosoe kila kitu cha chama tawala ni ujinga mkubwa. Ulitaka Mnyaa akubaliane na upotoshaji wanaoufanya akina Kitila Mkumbo ambao wanajadili hoja kwenye midahalo wakiwa ni viongozi wa chadema na wakizidiwa hoja wanaenda Chuo Kikuu na kutoa statements wakijiita ni viongozi wa UDASA. Unafiki mtupu!

Wewe ni mjinga inabidi wapenda maendeleo na ustawi wa taifa hili wakuelimishe na ukigoma utakuwa mpumbafu au utakuwa either fisadi au anayefaidika na ufisadi. Acha fikra mgando fikiria ustawi wa taifa hili kwa kizazi cha sasa na vijavyo na usijiangalie wewe tu.
 
Hivi angeiunga mkono chadema angekuwa chadema B? Ujinga huu wa kudhani kwamba wapinzani ni sharti wakubaliane kila kitu na wakosoe kila kitu cha chama tawala ni ujinga mkubwa. Ulitaka Mnyaa akubaliane na upotoshaji wanaoufanya akina Kitila Mkumbo ambao wanajadili hoja kwenye midahalo wakiwa ni viongozi wa chadema na wakizidiwa hoja wanaenda Chuo Kikuu na kutoa statements wakijiita ni viongozi wa UDASA. Unafiki mtupu!

1. Mkuu ingekuwa vizuri ukaja na mfano ulio wazi kuhusu nilichoki - highlight.

2. Neno unafiki hapo sielewi limetuimikaje, lakini last tyme I checked unafiki haufanani na chochote ulichoandika hapo.
 
you are very right. Ni upumbavu wa hali ya juu kupinga kila kitu alimradi tu aliyesema humuungi mkono ama humtambui. Na haya ndiyo matatizo ya wanachama wa the so called chahema

nitamwona mtu yoyote ana busara iwapo ataweza kuthibitisha kuwa chadema wanapinga bila point na hoja za nguvu!kila mwananchi mwenye uelewa nadhani anakubaliana sana na hawa mabwana, nimewasikiliza juu ya sababu zao za kupinga muswada na vuguvugu lao la kutokukubaliana na mambo kienyeji, ni kweli wana hoja za msingi ndo maana kila siku wanaungwa mkono sana toka kila pembe ya nchi na nje ya nchi,wamejipanga na jana kweli myaa alizidiwa sana!lisu ki kiboko!wenzetu wana[potosha umma na vijembe juu hali wenzao wanafundisha na kuibua hoja kwa manufaa ya wananchi wote!
 
Nikili kuwa nimejiridhisha kuwa chama cha wananchi CUF kuwa ni Mke halali wa tena kesha zaa!
Hili limejidhihirisha leo ktk mdahalo wa star tv pale Moven pick huku Lisu akijibu hoja kisheria na kikatiba yeye alijibu utadhani ni katibu mwenezi wa ccm!
Yani mara ya kwanza nilidhani ni kiongozi wa ccm mbaka niliposikia mwenyekiti wa mdahalo huo akisema ni mbunge wa cuf.

Habib Juma Mnyaa ninayemjua mimi ni Mhandisi (Engineer ) wa umeme. Nilimfahamu toka akiwa shirika la umeme Zanzibar (ZSTC) na baadae ofisi yake kama mkandarasi pale daraja bovu Zanzibar.

Kuna maana gani kumkutanisha Lawyer na Engineer katika suala la kisheria? Kwanini wasimchukue ismail Jussa kumkutanisha na Lissu kwani wote hawa ni fani moja.

Lakini pia Chadema lazima wakubali mawazo mgongano.Sio kila wanachosema au kuamua wao tu ni kweli na hawaruhusu watu wengine kupingana nao.Huo ni udikteta.

 
Back
Top Bottom