Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Nikili kuwa nimejiridhisha kuwa chama cha wananchi CUF kuwa ni Mke halali wa tena kesha zaa!
Hili limejidhihirisha leo ktk mdahalo wa star tv pale Moven pick huku Lisu akijibu hoja kisheria na kikatiba yeye alijibu utadhani ni katibu mwenezi wa ccm!
Yani mara ya kwanza nilidhani ni kiongozi wa ccm mbaka niliposikia mwenyekiti wa mdahalo huo akisema ni mbunge wa cuf.
Hili limejidhihirisha leo ktk mdahalo wa star tv pale Moven pick huku Lisu akijibu hoja kisheria na kikatiba yeye alijibu utadhani ni katibu mwenezi wa ccm!
Yani mara ya kwanza nilidhani ni kiongozi wa ccm mbaka niliposikia mwenyekiti wa mdahalo huo akisema ni mbunge wa cuf.