Itakuwa busara kama JK atamwalika kiongozi wa chama kikuu cha upinzani ktk dhifa na Obama. Italiletea taifa sifa huko nje. Mbowe, Slaa, Lissu, Wenje, Leticia, mkialikwa nendeni! Najua Pro. Lipumba ataenda. Haitakuwa na maana kama kwenye 'mnuso' huo watajaa akina Nape, Jaffo, Madabida, Mangula na hata lusinde!!