Asante nimenunua burner nyingineNunua burner nyingine...hazikai hizo...ukitumia muda mrefu zinatoboka kwa kutu...na km jiko hutumiii vitobo vinaziba..
Mi ishanitokeaga...
Enzi za usela nishanunuaga burner mara 3....sio imara hasa kwa kutu ndio penyewe
Loooh jf sing'ok wallahMkuu hivi katikati ya vidole vyako vya miguu viliozea
kwenye majaruba ya mpunga??
au una fangasi sugu,
maana vinaonekana vina hali tete sijui hata
kama unaweza vaa viatu au ndala...
View attachment 530031
HahahaahahahaaahHapo ulipo magari ya zima moto yapo karibu? Vinginevyo utakuja kutupa mrejesho kwa namna nyingine kabisa
Aya, ngoja tuje kuzoa majivu. Wakati wewe mwenyewe ushasema ni maamuma kwenye gas! Gas haichochewi kama kuni. Ila hongera pia.Unachoma nyumba kwa lipi sasa acha mambo yako wewe
Umeshakula umepata jeuri eeh? Juzi hapa ulikuwa mdogo zaidi ya piritoniNani amekuambia nimejaza 50000 we endelea kutulimia mpunga huko ulipo pawaga