usikute hapo mtaani yeye ndo fundi wa hayo majiko!
alafu anatuzuga hukuHujaomba kwa jirani bado, pole kwa kushinda na njaaSijafanikiwa mkuu mtungi una gesi ya kutosha lakini nikifungua koki kale kamlio cha gesi cha shiiiiii sikasiki nahisi hii valve imeziba labda
Kanunue burner sasaMajirani wanagesi kubwa zile
Huku kwetu 15000Burner bei gan mkuu
huyu mkuu leo lazima alale njaa,kuna chaka na mimi nilikakuta hako kajiko hakika jasho zilinitoka,bila tu ku`meki kol mjini ilikuwa naangukia pua,tujiko twa kipuuzi sana huto,afu tuna makelele
kwa kelele hapo umenena! Kwani Mimi nakitumia kama kicho cha jamaa cha lake gas ila mbona hakusumbui kama yy anavyodai? Tena habari ya mkaa nimeishaachana nayo kabisa; Aiseeeeh Pole.
Siyo wewe kweli ulikuwa unabeba upinde na panga kule ntwara kuwa hakuna gesi kwenda Dar es salaam!?
Haya matokeo ndiyo Kama hayo sasa unaadhibiwa na kijiko kidogooo.
Rudisha , kwa aliyekuuzia ama mahala ulipojaza gasi inawezekana pana shida au hawajajaza chochote humo kwenye kimtungi hicho walichokugeia

Mh,kumbe izo valvu wamezitengeeza ki ujanja ujanja,langu miezi miwili cjalitumiaKama hujatumia muda mrefu hivyo vitobo vya hicho kivalve vinaziba kwa kutu...
Cha kufanya kanunua kivalve kingine..utakuja kunambia...