monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,243
- 11,421
pole mkuuNimefanya kama ulivyonielekeza lakin baada ya kuzungusha hiyo koki ile sauti shiii siisikii kabisa
pole mkuuNimefanya kama ulivyonielekeza lakin baada ya kuzungusha hiyo koki ile sauti shiii siisikii kabisa
Imeziba....usipoteze muda..kanunue kingine..la km jiran yko analo km hilo..chukua valve yk bandika kwako kutest utaonaNimemuelewa vizuri mkuu lakin hiyo stegi ya mwisho kwenye haka kajiko ndo kananipa shida,nikifungua siisikii gesi ikifanya shiiiii ili nichukue njiti niwashe
Nimefanya kama ulivyonielekeza lakin baada ya kuzungusha hiyo koki ile sauti shiii siisikii kabisa
Gesi iko full hata muda wakati nafunga hii burner gesi naisikia inatoka nikishakaza inatulia lakini nikifungua nikitaka kuwasha siisikihi ikifanya shiiih ngoja nijaribu kuazima burner nyingine nioneAre you sure iko na gas?
Uko sure hiyo burner yako inafanya kazi ipasavyo?
1) Angalia kama kweli una gas kwa hiyo cylinder. Unaweza pima kilo au kautingize (utahisi kama umejaa au la)
2) Jaribu kutumia burner tofauti au tumia hiyo burner kwa gas cylinder tofauti
Then remember; matchbox kwanza kisha unafungua valve ya burner
DuuhHapo ulipo magari ya zima moto yapo karibu? Vinginevyo utakuja kutupa mrejesho kwa namna nyingine kabisa
Omba msaada kwa jirani au unaona aibu

usikute hapo mtaani yeye ndo fundi wa hayo majiko!Unamaanisha gas inatoka yeye anasubiri flame? Usikute imeshaisha!Hizo si automatic. Inabidi uwashe na kiberiti.
Uwe makini.
HaahahaHapo ulipo magari ya zima moto yapo karibu? Vinginevyo utakuja kutupa mrejesho kwa namna nyingine kabisa
Mkuu ushafanikisha?Hahahahah