Mnitoe ushamba kuhusu jiko la gesi

Mnitoe ushamba kuhusu jiko la gesi

Ftc

Senior Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
144
Reaction score
114
Habari ya jumapili wakuu,niliachiwa jiko la gesi na jamaa angu sasa alivyoniachia mtungi ulikuwa hauna gesi nilikaha nalo kwa muda bila kulitumia sasa leo nimeokota kaelfu ishirini kangu nikaenda kuongeza gesi,kimbembe kipo hivi nimefunga hii valve ya juu,na nikafungua hii valve ya kuruhusu gesi ili nitumie lakin kila nikiwasha naona aiwaki nitakuwa nakosea wapi
af525cec948f577de51dff1253286359.jpg
73eb71cc89a72b15a1813df8425aa03f.jpg

...........................................................Update
Asanteni kwa ushauri wenu kuhuliza sio ushamba nimepata maarifa sana kuhusu haya majiko ya gesi,mrejesho ni kwamba nimeenda kununua burner nyingine na sasa natumia jiko langu kama kawaida
a937205d15294f87469344eda86c64fc.jpg
55c5808ec6a2574248931e2bf718b186.jpg
7fad704d7d5487301de04e6ee130ac30.jpg
 
Ukishaiwasha kwa kuzungusha icho kikoki washa kwa kiberiti iyo sehemu ya kupikia
 
Itakuwa hujaweka vizuri! chomeka hiyo valve then zungusha kama unafunga nati ikaze. Baada ya hapo zungusha koki ya kuwashia/ kutolea gas kutoka kulia kuelekea kushoto, itatoa sauti kama nyoka yaani hsiiiii, toa njiti ya kiberiti washa sogeza kwenye huto tutundu lakin usikaribishe sana unaweza ungua. Pole kwa kejeli ulizopata.

Ukimaliza leta mrejesho
 
huyu mkuu leo lazima alale njaa,kuna chaka na mimi nilikakuta hako kajiko hakika jasho zilinitoka,bila tu ku`meki kol mjini ilikuwa naangukia pua,tujiko twa kipuuzi sana huto,afu tuna makelele
 
Itakuwa hujaweka vizuri! chomeka hiyo valve then zungusha kama unafunga nati ikaze. Baada ya hapo zungusha koki ya kuwashia/ kutolea gas kutoka kulia kuelekea kushoto, itatoa sauti kama nyoka yaani hsiiiii, toa njiti ya kiberiti washa sogeza kwenye huto tutundu lakin usikaribishe sana unaweza ungua. Pole kwa kejeli ulizopata.

Ukimaliza leta mrejesho
Kama hajakuelewa kwa maelezo yako mkuu, sijui atakua na kichwa gani
 
Itakuwa hujaweka vizuri! chomeka hiyo valve then zungusha kama unafunga nati ikaze. Baada ya hapo zungusha koki ya kuwashia/ kutolea gas kutoka kulia kuelekea kushoto, itatoa sauti kama nyoka yaani hsiiiii, toa njiti ya kiberiti washa sogeza kwenye huto tutundu lakin usikaribishe sana unaweza ungua. Pole kwa kejeli ulizopata.

Ukimaliza leta mrejesho
Nimefanya kama ulivyonielekeza lakin baada ya kuzungusha hiyo koki ile sauti shiii siisikii kabisa
 
Kama hajakuelewa kwa maelezo yako mkuu, sijui atakua na kichwa gani
Nimemuelewa vizuri mkuu lakin hiyo stegi ya mwisho kwenye haka kajiko ndo kananipa shida,nikifungua siisikii gesi ikifanya shiiiii ili nichukue njiti niwashe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom