mngechukua uamuzi gani

Shida ya walio wengi including MZIWANDA ni kwamba wanadhani ndoa ni WATOTO...

HAKUNA KITU KAMA HICHO NYIEEEE!

Ndoa ni makubaliano ya watu wawili kupendana hadi kifo kiwatenganishe(tafsiri niijuayo mimi, i dont entertain malumbano hapa).

Sasa, watoto ni ZAWADI katika ndoa, ndio tunavyosema na kuamini...
Hivi mtu utalazimisha upewe zawadi?..
Kama zawadi haijatoka, kuwa mpole!

Kulazimisha watoto wapatikane sio suluhu katika ndoa, bali ni uzinzi..na aziniye na MWANAMKE HANA AKILI KABISA, BIBLE INATUMABIA HIVYO...NIMEMALIZA!

Hapa hakuna busara kuna emotions

Kosa la kwanza amezini na mdogo wake mke wake haramu kabisaaa...hilo sina solution

Lakini anatakiwa aoe mke wa pili (siyo dada wa mke wake) watoto ni muhimu katika ndoa hilo halina ubishi

Nionavyo mimi maji yameshamwagika...itabidi aoe wote
 
u must be so loyal. unasema hivyo kwa vile una m/watoto, au hujajua status yako ya urutuba. asikudanganye mtu, mkuu ndoa bila mtoto au watoto ni bure. watoto katika ndoa ni 'implied' kwa maana kuwa watu wanatarajia ongezeko kati yenu.

Hii ni kwa AFRICA tu.
 
Walizaa vipi ivf ama mchezo kamili? May b the man is crazy abt the game n not the kids. Hii stori kama ya ukweli haina dawa!
 
Walizaa vipi ivf ama mchezo kamili? May b the man is crazy abt the game n not the kids. Hii stori kama ya ukweli haina dawa!

a true story, maam. Mke na mume wamekula nondo zao hapo UDSM. Mke mtu wa Moro
 
Hayo ni matatizo ambayo watu wengi wanaoingia katika ndoa wanakutana nayo. huwezi leo hii unaenda mjini unakutaka na binti halafu eti unatangaza ndo.....humjui yeye...!!!kwao huwajui....!!! ukimkuta tasa inakuwa yale matarajio yako umeyapoteza ndio maana huyo jamaa alipopewa option ya kuzaa na shemejiye alikubali..na kama ujuavyo wahenga walisema.''Ukila na kipofu usimshike mkono'' pia kumbukeni ''usimfundishe panya kula sufi'' :confused:
 
Back
Top Bottom