julaibibi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 3,341
- 4,572
Ah namuona jamaa kapanikNaona wqnatandika majamvi na magunia juu halafu wanapaka rangi
Mbona nchi zingine zipo sana na mvua zinanyesha kama kwenu?
Ujanja ujanja mwingi waswahili ndio maana wanalalamika ooh kwanini eti usalamahawadhibiti bidhaa za Kenya
Wajerumani wanatengeneza nyumba kiwandani wewe wanakupalia kwenye meli au malori unakuja kufungiwa kila kitu
Kama unavyofungiwa boda.
Hizo style za bat huon zimejaa kwa wachina huko na south america
hawadhibiti bidhaa za Kenya
