Mnayakumbuka ya Dkt. Ulimboka na Awamu ya Nne? Je, yupo wapi sasa?

we uko dunia gani, tangia JK astaafu hakuna nyongeza? Are you serious? Mkiambiwaga nyie siyo watu wa kawaida muwe mnaelewa. Mnajiandikia tu km wehu flani hivi
Hakuna Nyongeza miaka yote ya JPM

tangu Samia kaingia nae hajaongeza hata Tzs. mia

Wewe akili ndogo hujui tofauti ya Nyongeza ( Salary increment) na promotion

Samia kafanya promotion kwa baadhi tu lakini hajaongeza hata ths moja na mwezi July akawaahidi watu na pakapita Kimya

Tuliza Mihemko kijana…Serikali yenyewe inakiri hakuna Nyongeza tangu 2015 lakini Wewe Mtu kutoka Jupiter unabisha
 
Huu ni mwaka wa 8 tangu Jakaya kastaafu na hakuna Nyongeza ya Mshahara hata ya Tsh 10, mbona hawagomi tena?

Eti kima cha chini kifike 3.5 million?

umesahau kumalizia story yako kuwa alipotekwa akatupwa Mabwepande akapita 'mtu' akamuona yupo katikati ya Pori huyo mtu 'bahati nzuri' alikuwa na namba ya Dr Hellen Kijo kisimba akampigia nae akawapigia ITV wakaenda live kumuokota Dr Ulimboka

baadae Dr Hellen akakusanya watu pale Salender bridge wakampindue Jakaya kwa maandamano kama ya Arab Spring wakati huo…kama Kawaida yetu Watanzania tukapuuza upuuzi wa kuvuruga Taifa kwa movie za kutengenezwa

Damu ya wale wagonjwa waliogeuzwa Silaha ya kisiasa hadi wakapoteza maisha itawaandama wale wahuni mpaka siku wanaingia Makaburini.

"Mzee akatoswa na Chama chake 2015, akafadhiliwa Ubalozi kufika kule akakimbiwa na Muhaya wake aliempora kwa Meneja wa Bandari, Ghafla Tajiri aliempa Ubalozi akafa ghafla, nae akapoteza kazi, akarudi home akavamia hoja ya Katiba mpya, Mara akaparamia Hoja ya Bandari akajikuta katangaza uhaini akayakanyaga …" Dhambi za kutumia Wagonjwa kama Silaha ya kisiasa haitowaacha salama…yule Mama nae kapatwa na maradhi ya Wasiwasi

Dr Ulimboka baada ya kupona na kugundua kuwa nani alimuuza pale Leaders Club hadi sasa hataki hata mawasiliano nao Makamanda wenzie

JK kwmy sakata la Madaktari alionesha sifa moja kubwa sana ya kiungozi ambayo hatutopata Rais kama yule hadi mwisho wa Dunia
Mkuu funguka ueleweke code ziko nje ndani.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
we utasubiri mpaka unakufa hayo unayoyawaza hayawezi tokea
Vyombo vya usalama vya kutisha raia havina tija tena miaka ya sasa. Enzi za cold war viliweza ila muda wao umeisha. Tunahitaji sophisticated security forces na sio kama walinibambikizia kesi nikiwa Tunduma.
 
Mwaka 2012 Dkt. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana.

Sababu kuu ya kutekwa ilikuwa ni kuongoza mgomo wa Madaktari nchi nzima waongezwe mshahara kutoka 950k hadi 3.5m. Aliitwa chemba apozwe asitishe mgomo, akagoma.

June 27, 2012 akiwa Leaders Club akatekwa, June 28 akaokotwa msitu wa Mabwepande akiwa hana baadhi ya meno na kucha.

Chanzo

Je yuko wapi kwa sasa Dr. Ulimboka?

Hii ndiyo ilikuwa hali yake baada ya kutekwa.

View attachment 2718403View attachment 2718404
ubalozn
 
Back
Top Bottom