Mnawezaji Kuzicontrol Nyege Zenu

Mnawezaji Kuzicontrol Nyege Zenu

Kajichoshe kwenye mazoezi, inasaidia sana. Ukichoka hata ukiongea na mpenzi wako dushelele haisimami. Wewe na Mimi hatutofautiani sana, mi nikitoka job, saa kumi naingia tizi uwanjani hadii Giza. Basi sina hata hayo mawazo ya ngono, full rahaaa.
 
The problem is in your mind. Hayo mengine ni outcomes.
 
Habari wana JF mimi nina miezi yapata saba sasa tangu niwe mbali na mpenzi wangu na mpaka sasa sijafanya mapenzi ndani ya hiyo miezi niliyotaja ila napata wakati mgumu sana kwani nina ugwadu hatari nikiona hata kuku mtaani wamedandiana mimi dushelele inasimama sasa mnisaidie nyie mliwezaje kuicontrol hii hali ninapata shida sana alafu kuna kibek tatu pale ninapoishi wakati nafika nilikuwa nakiona kibaya hakina mvuto ila sasa kinanitamanisha sana nakiona kama Lulu wa Bongo movie...Hapa niko dukani najishauri ninunue condom yaani najipa mawazo nifike nikiite chumbani nipige hata kimoja maana nina nyege sana hatari naweza kubaka hata kuku...Naomba ushauri ndugu hapa nifanyaje au njia gani nitumie
Hii stor inanipa wakati mgumu kidogo sijui wenzangu wameliona au niakili zangu za kizee.huyo beki tatu sawa unaweza kumuona kama lulu kwa ugwadu wako lakin unaposema upo dukan wajishaur kununua kondom uende geto umuite aje. Humo ndan kwako au usinunue hiyo kondom.hapa kuna vitu haviko sawa.huyo beki tatu nizaid ya maharage ya mbea unaitatu kama vile umeenda kwa madada poa?au ulishamtongoza?utanunuaje kondom kwa mtu ambaye huna miad naye.hapa kuna dalili za kishigongo
 
Una moyo!unastahili pongezi kwa miezi yote hiyo ya kukaa bila kupata tunda,ni dhahiri umejitunza vya kutosha..huwa nipo tayari kutuma nauli ata kama mtu yupo kagera ila sio kukaa na nyege..nyege ndio adui yangu mkuu,kwanza akinipata ata kazi napunguza ufanisi.kizuri cpigi Malaya epuka sana hao watu ukiwa na nyege.
 
subilia kufungwa siufanye nyeto kama mnavyosemaga
 
Mkuu tafuta tu mwanamke akupunguzie ugwadu usije ukabaka bure.
Naona kama kesi ya ubakaji inakunyemelea kwa kujifanya unavumilia mana huo uvumilivu ukikushinda unaweza fanya kituko cha mwaka.
Kama ukiona kuku tu unachanganyikiwa hali yako ni tete na unaelekea kubaya.
Tafuta pa kuzipunguzia aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom