Mnawezaji Kuzicontrol Nyege Zenu

Mnawezaji Kuzicontrol Nyege Zenu

dallaz28

Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
14
Reaction score
16
Habari wana JF mimi nina miezi yapata saba sasa tangu niwe mbali na mpenzi wangu na mpaka sasa sijafanya mapenzi ndani ya hiyo miezi niliyotaja ila napata wakati mgumu sana kwani nina ugwadu hatari nikiona hata kuku mtaani wamedandiana mimi dushelele inasimama sasa mnisaidie nyie mliwezaje kuicontrol hii hali ninapata shida sana alafu kuna kibek tatu pale ninapoishi wakati nafika nilikuwa nakiona kibaya hakina mvuto ila sasa kinanitamanisha sana nakiona kama Lulu wa Bongo movie...Hapa niko dukani najishauri ninunue condom yaani najipa mawazo nifike nikiite chumbani nipige hata kimoja maana nina nyege sana hatari naweza kubaka hata kuku...Naomba ushauri ndugu hapa nifanyaje au njia gani nitumie
 
Jiepushe na vitu vinakuletea tamaa za mapenz hebu jitahid kujichanganya na jamaa mkuu dont be iddle too much
 
Nyege hazina ushauri nafsi yako ndio inajua ukweli pole fanya uoe
 
Matamanio yakizidi akili binadamu huwa mbaya kuliko mnyama...

Ona sasa unamtamani hadi kuku..

Fanya hima uoe,usije kutuharibia hivyo vitoweo pendwa.....


wewe hapo unaona dalili ya muoaji au unataka dada zetu wakapate shida!???

Hivi mid tern likizo haijaishaga tu!???
 
Piga tizi......
Fanya phone x na mpenz wako....
Jikip bize na mambo kama mpira, mzik....
 
Hyo ni basic need.. So fanya tu umfwate huyo mpenzi huko aliko!
 
Jishughulishe na wala usiwaze kuhusu ngono..... Yakija hayo mawazo tafuta kazi ya kufanya.
 
Sio wewe..huyu mtoa mada...nahisi ni mwanafunzi wa sekondari ndiyo mnamshauri aoe! mwenzenu anapoteza muda shule zifunguliwe aende kuendelea kupoteza ada za wazazi wake!!
Nimekuelewa, tuko pamoja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom