Tychob
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 4,221
- 5,560
unanisema kijanja siyo?Basi nimeponea chupuchupu aiseeš®
unanisema kijanja siyo?Basi nimeponea chupuchupu aiseeš®
š„“unanisema kijanja siyo?
Tangu lini matapishi yakalambwa? Ama kinyesi kikarudishwa tumboni?Katika kitu kimenishindaga kwenye mahusiano ni kurudiana na ex wangu yeyote yule. Mimi roho yangu ni ndogo sana mtu akinikosea huwa inaniwia vigumu kumsamehe na kurudiana nae.
Niliwahi kujaribu lakini tulikutana tu mara moja nikagundua sina hisia nae tena wala mapenzi hakuna.
Kwenye utamu wa X, hilo halina pingamizi!Inategemea mliachanaje mkuu!
kuna ile mnaachana kama hamjaachana vile.. hii rahisi sana hata kupiga mechi za kirafiki..
Kuna ile mnaachana standard hii ina nafasi ya kurudiani ( kuna mahala mnashindwa kukubaliana, mnaamua kila mtu apite kushoto )
Kuna ile mnaachana kwasababu ya watu
kuna kuachana kwa vita hii nadra sana kurudiana japo hutokea
kuna kuachana kwa kuuana, na kuwindana hii haiwezekani kurudiana maana ukifanya kistake unaliwa kichwa..
EX huwa anakuwa mtamu kinoma, hasa kwenye part ya maongezi wakati unamkomesha
Kweli ex wengi wakijirudi wanarudi kwa misheni maalum na mara nyingi huwa ni kukuangamizaEx harudiwi na wengi waliojaribu waliambulia HIV na magonjwa ya zinaa