nemic4u
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 442
- 299
Umenichekesha hiyo ya 'for the kids' wakati wanarudi nyumbani kamanda Barlow time (saa nane tisa) na wanaondoka saa kumi na moja. Hao watoto watawamis vipi kama watahamia kwa kimada wakati they are used to their absence?
Kurudi kwenye mada...hivi unadhani wanaodate married men hawajuhi kuwa wanadanganywa...? Wanakuwa wanataka kama si mkunaji basi ku chop money...mi huwezi ni convince eti nimedanganywa wakati wewe si teenager.
Basi tu watu wengine hujitoa sijui ufahamu ,wakati anaanza kutongozwa na mume wa mtu anadanganywa kabisa yaani hapa nilipo nina mda mrefu kweli sijafanya mapenzi mana sina hamu kabisa na wife wangu kwanza amekuwa mnene sana ,anakiburi ,kila mara namkuta amenuna ,yani nina stress mpaka kazini wananishangaa,binti anaingia mkengee huyooooooo,muda si mrefu unashangaa mke wa jamaa ni mjamzito sasa cjui hiyo mimba inakuwa imeingia kwa njia ya bluetooth .
Mbaya zaidi hawajui kwamba wanapotezewa muda ,at the time anakuja kushtuka muda umeenda anatafuta wa kumuoa hamna ,anakuwa na mastress kuanzia kwny kichwa mpaka miguuni ,na mume wa mtu kasharudi kwa mkewe au kashatafuta kimada mwingine.