Mnatukatisha tamaa NACTE

Mnatukatisha tamaa NACTE

Prezdaa Shaco

Member
Joined
Sep 3, 2013
Posts
46
Reaction score
8
NACTE mmetupa majibu bila ya uthibitisho chuoni (confirmation) sasa tuwaelewe vipi mana hatujui hatima yetu hadi Lini Mana Nimeenda chuo kuchukua Admission latter nimeambiwa hatukutambui jina lako halipo. Daah mwenye kujua zaidi kuhusu hili tupeane ushauri...!!
 
NACTE mmetupa majibu bila ya uthibitisho chuoni (confirmation) sasa tuwaelewe vipi mana hatujui hatima yetu hadi Lini Mana Nimeenda chuo kuchukua Admission latter nimeambiwa hatukutambui jina lako halipo. Daah mwenye kujua zaidi kuhusu hili tupeane ushauri...!!

Chuo husika kinatoa majina hakikisha jina lako limetolewa na chuo lipo kabla ujafata admission letter
 
Hukuuelewa ujumbe wa Nacte ungeuelewa usingeenda chuo...

Umeambiwa subiria confirmation sasa ww umeendaje chuo bila kua confirmed
 
hata mimi nmepata tetesi kuwa n muhim kwenda chuon kukonfirm ili sasa chuo ndo kikutambue rasm hasa wale wa inservice,maoni wadau
 
Kwa wale tuliochaguliwa UDSM bado siku 15 saasa kama chuo hawajatucormfirm inakuwaje wakuu?? Maana mda hakuna tena
 
sasa me nashindwa kuelewa hizo confirmation ni nini hasa ni kwenda chuoni au kusubiri mpaka chuo kitoe majina na je majina hayo yanatoka lini au mpaka deadline ipite ambapo siku zinakuwa zimeisha kabisa au ndio wanasubir wale wa tcu wa third round majina yatoke kwa pamoja yani tumechaguliwa ila uthibitisho unatuweka tumbo joto
 
Subirini Mpaka Majina Yapelekwe Chuoni Kutoka Huko NACTE.. na Chuo kinayapitia Then mnakuwa confirmed
 
sasa apo ndo shida nacte bdo hawajapeleka majina alafu vyuo kama udsm wamekaribia kufungua sijui tunafanyaje
 
Kwa wale tuliochaguliwa UDSM bado siku 15 saasa kama chuo hawajatucormfirm inakuwaje wakuu?? Maana mda hakuna tena

Kama uliweza kusubiri kipindi kirefu cha matokeo mkuu unashindwa haka ka ng'we kalikobaki?!ni suala la kuomba mungu na muda tu,kila kitu kitakuwa sawa,wala hutakiwi kuwa na kihoro!
 
Kama uliweza kusubiri kipindi kirefu cha matokeo mkuu unashindwa haka ka ng'we kalikobaki?!ni suala la kuomba mungu na muda tu,kila kitu kitakuwa sawa,wala hutakiwi kuwa na kihoro!

Tatzo sio kusubiri mkuu bali ni nacte kwenda na tarehe ya chuo husika ..maana inaonesha wazi kuwa nacte..tcu ..heslb na vyuo mawasiliano yao hayapo fast kama inavyotakiwa ..kila mtu anafnya yake kwa mda wake mwenyew anapojiskia bila kujua kila mtu ana mda wake
 
Tatzo sio kusubiri mkuu bali ni nacte kwenda na tarehe ya chuo husika ..maana inaonesha wazi kuwa nacte..tcu ..heslb na vyuo mawasiliano yao hayapo fast kama inavyotakiwa ..kila mtu anafnya yake kwa mda wake mwenyew anapojiskia bila kujua kila mtu ana mda wake
Totaly truth..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom