Mnaozindika nyumba

Mnaozindika nyumba

Kuibariki nyumba ni rahisi kama kubariki chakula lakini sana hata hao wachawi hawafuati nyumba bali waliomo ndani

yake hivyo hakikisha kwamba wewe mwenyewe KRISTO YESU anaishi ndani mwako otherwise ni kutwanga maji kwenye kinu tu.
 
Sijaroga mtu siku nyingi sana !sema upo wapi nipe ,jina lako na la mama yako ,nywele au sehemu yeyote ya nguo yako ,au sehemu uliyo kanyaga ! nina silaha mpya toleo la 2015!nataka nijaribie kwako inaelekea mweupe wewe kila upande(kiroho na kishirikina)!

mimi hapa niroge sasa!
 
Kuibariki nyumba ni rahisi kama kubariki chakula lakini sana hata hao wachawi hawafuati nyumba bali waliomo ndani

yake hivyo hakikisha kwamba wewe mwenyewe KRISTO YESU anaishi ndani mwako otherwise ni kutwanga maji kwenye kinu tu.

Exactly, issue sio nyumba sehemu yoyote ulipo unafuatwa then unapigwa juju!
 
Back
Top Bottom