KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,291
Nilikua nasikia kuwa wanaojenga nyumba mara nyingi huwa wanazizindika, sijui kuchimbia madude gani ili mchawi ashindwe kuroga.
Mimi yangu inakaribia kwisha kwisha kabisa na sijawahi kufanya huo upuuzi na sijafa, hii inakuaje!
Mimi yangu inakaribia kwisha kwisha kabisa na sijawahi kufanya huo upuuzi na sijafa, hii inakuaje!