Mnaotumia Itel mnawezaje kuvumilia??

Candela

JF-Expert Member
Aug 12, 2021
613
1,611
Wana Jamvi nahope mko poa.
Hivi hawa itel wanawachukuliaje wateja wao. Aisee nimeletewa itel mpya na mtu nimsetie aanze kuitumia, ile kila kitu tayari akaweka memory card a play music, ebana simu si haina music player. Yaan file la mp3 haiwezi kusoma inaweka alama ya ?. Nkajua labda kapigwa airudishe simu dukani. Tumeenda kufika karibu simu 4 model tofauti tukakuta hazina music player ni hadi udownload. Kwa karne hii ya teknolojia bado kuna mtu anatengeneza simu bila mp3 player?
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Wana Jamvi nahope mko poa.
Hivi hawa itel wanawachukuliaje wateja wao. Aisee nimeletewa itel mpya na mtu nimsetie aanze kuitumia, ile kila kitu tayari akaweka memory card a play music, ebana simu si haina music player. Yaan file la mp3 haiwezi kusoma inaweka alama ya ?. Nkajua labda kapigwa airudishe simu dukani. Tumeenda kufika karibu simu 4 model tofauti tukakuta hazina music player ni hadi udownload. Kwa karne hii ya teknolojia bado kuna mtu anatengeneza simu bila mp3 player?
Biashara za kushirikiana
 
Back
Top Bottom