Duhhhhh poleni wanaume wa Kenya.
Ndio maana wengi wanatafuta Wake nje ya Kenya.
( kwa wale ambao kiswahili ni kigumu nimesema wengi sikusema wote)
Duhhhhh poleni wanaume wa Kenya.
Ndio maana wengi wanatafuta Wake nje ya Kenya.
( kwa wale ambao kiswahili ni kigumu nimesema wengi sikusema wote)
Wa Tanzanians mnapenda kujihugulisha sana na mambo ya Kenya. Jipeni shughuli. Btw kama TV ni Tsh. 500,000, gari ni Tsh. 10 billion?
Imarisheni uchumi kwanza kabla ya kupayuka.
Hawapigi kofi hawa ji vichwa pamoja bisu unashikiwa maana wanakata naniliuuu cku hizi.Kofi la mwanamke haliumizi shavu bhana!
Uko nje ya mada kaka..Wa Tanzanians mnapenda kujihugulisha sana na mambo ya Kenya. Jipeni shughuli. Btw kama TV ni Tsh. 500,000, gari ni Tsh. 10 billion?
Imarisheni uchumi kwanza kabla ya kupayuka.